Unapenda kutunga stori ambazo hazipo..Jamaa kakupa jibu zuri Sana,nyie si mnasema mwanaume hana faida sasa how comes familia ziteseke baada ya kifo?.
Na bahati mbaya ndivyo huwa maana Mzee akiondoka tuu nyumba inabaki haina order kila mtu kivyake mnakutana jioni kama kuku.