Wanawake mnajua sana kupanga bajeti bila kujua hiyo hela imepatikanaje.Habari Wana jamvi,
Kwa wanaume mliooa naomba kuuliza ni kwanini haumshilikishi mkeo vyanzo vyako vya mapato?? Au ulikua unamshilikisha afu ukaacha why?
Ladies take note
Hapo mzee patakusumbua sana, asili ilivyo ni kwamba mwanamke ameumbwa kupokea tu na mwanaume ndiyo anayetoa. Akipata kazi yake usiitilie maanani labda atake mwenyewe kuchangia. Hata hivyo unayo maamuzi afanye kazi au asifanye. Kuishi na mke kunahitaji akili ya ziada ndiyo kupevuka kwenyewe hasaHuo upuuzi wa sheria ya ndoa mtadili nao nyie! Chakula nitanunua ila mke lazma achangie kwenye kuijenga familia ili awe na uchungu na familia! Mwanamke pekee anaweza kufanya haya ni anayekupenda kwa dhati sio wale ambao wananufaika na huduma hizo!
Hii tabia ya kufuga wanawake kama paka au mbwa ndio imepelekea hata wao kuvunja ndoa kwao ni rahisi sababu hawana cha kupoteza! Mgawane mali kirahisi yeye hana alichowahi changia toka mmeanza atakuwa vipi na uchungu na wewe?
Nyumba umejenga wewe, gari umenunua wewe lako na lake, biashara umefungua wewe au kazi umemtafutia wewe .Yeye kazi yake ni kutanua mapaja tu na kujiliza liza na shida zake za kila siku akiskilizia utoe hela umpege tu! Na kazi anayo hapo...
Kwa sisi mila zetu za kipare mwanamke ni muwajibikaji sio mfugo!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] utaskia mke anamuambia mume wake mkweo anataka smart phone au wazaz wamesema umlipie mdogo wangu ada[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] sasa mwanaume sijui amemuoa nani kwenye familia hii sabab kila mmoja anamchuna si mkewe, mama mkwe, mashemeji bado baba mkwe si atakimbia nyumbaLanguage na understanding kwa weakness za mpenzi wako ni key, but majority huwa na ubinafsi for instance mtu ana matumizi mabaya badala ya kupanga budget na kufanyia ya maana, Kuna wanawake wakiolewaga tu ukoo mzima unaamia hapo bila aibu, na mke atataka nduguze tu wasaidiwe ila wa ndugu wa mume hataki ka si ubinafsi wa kiwango Cha lami ni nini?
Tena wengi wa aina hii ubahatike mwenye upendo wa dhati aliyeamua kujitoa kwelikweli kwako! La sivyo humo ndani mtakuwa na wanaume wawili mmoja mkubwa mwingine mdogo. Chunguza hii kitu utaona mzee, hapo unatakiwa kuwa mkali kama pilipili na misimamo ili mwende sawaMkuu mimi na hustle mzee ila kwenye developments za familia lazma mwanamke nae mchango wake uonekane! One of my Qualities za mwanamke sitaki mwanamke mchoyo wala tegemezi!
Mimi sitaoa matako wala sura nzuri focus ni brain na attitude ya mwanamke mwenyewe na ambitions! Nyie mnaooa wanawake wa kufuga ili muwapelekeshe oeni tu! Ishu ni mwanamke mwenye uchungu na family na kuhakikisha tunashirikiana kujenga familia bora!
Yeah ndio maana nikasema mwanamke lazma awe na upendo wa dhati lazma umchunguze how deep ana huruma na wewe na maisha yako.Tena wengi wa aina hii ubahatike mwenye upendo wa dhati aliyeamua kujitoa kwelikweli kwako! La sivyo humo ndani mtakuwa na wanaume wawili mmoja mkubwa mwingine mdogo. Chunguza hii kitu utaona mzee, hapo unatakiwa kuwa mkali kama pilipili na misimamo ili mwende sawa
Na hapo mwanaume ili kutetea taji atapambana akave vyote hata kwa awamu tu😅 ila mwanamke huyo huyo ikitokea mtoto wa kaka wa mume anahitajika ada tu utaona anavyofyum hela ikipelekwa huko![emoji1] [emoji1] [emoji1] utaskia mke anamuambia mume wake mkweo anataka smart phone au wazaz wamesema umlipie mdogo wangu ada[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] sasa mwanaume sijui amemuoa nani kwenye familia hii sabab kila mmoja anamchuna si mkewe, mama mkwe, mashemeji bado baba mkwe si atakimbia nyumba
Huyu mimi dakika 0 tu namzingua, yaani kama sijazaa nae naweza mwambia endelea na maisha yako sasa, haiwezekani tutiane Loss alafu hawa mashost ndio huwa wanaharibu manina zao.Mimi nakumbuka kipindi naanza ajira matumizi binafsi ndani kwa mwezi laki 6 inaisha na hapo tunaishi mbali yeye town mimi bush kwenda mjini mara moja moja, nikajitoa kumfungulia biashara ya kama Milioni 6 hivi duka la nguo akaanza kunambia rafiki zake wanamshangaa kasoma ila anauza duka la nguo miezi 6 baadae biashara ikafa hakuna pesa wala nguo zilizopo kumuuliza eti kakopesha aliowakopa wamekimbia.
Mkuu hivi unaamini kuna wanawake wanaweza kuwa wanafanya kazi na kuwasilisha kipato chao kwa wanaume zao? I’ve witnessed it myself...Hapo mzee patakusumbua sana, asili ilivyo ni kwamba mwanamke ameumbwa kupokea tu na mwanaume ndiyo anayetoa. Akipata kazi yake usiitilie maanani labda atake mwenyewe kuchangia. Hata hivyo unayo maamuzi afanye kazi au asifanye. Kuishi na mke kunahitaji akili ya ziada ndiyo kupevuka kwenyewe hasa
Sasa this was what i was trying to explain japo from my own point of view!Ukimuona mwanamke wa hivyo nilimbukeni wa maisha napia kakulia katika mazingira duni hivyo kapata nafac yakuwa namwanaume mweny kiuwezo kidogo au anafanya kazi. Yeye hatojali kipato cha mwanaume ataanza kufany upuuzi wake anaoujua.
Huwa nawashangaa wengine wanadai Dada wakaz wawepo majumban ikiwa yeye hana kaz ya maana ukimuuliza mbona hivi atakujib mbona flan anadada wa kazi sasa huyu usimshangae kwanza nimshamba wa maisha, pili anaishi maisha ya kujionesha, Tatu hajui anataka nn kwny maisha yake .
Kwa mwanamke mweny kujielewa huwa anafocus kupamban kufikia uchumi wakati kula vzr au urembo wwt kwake anakuwa hana muda nao ila anachoangalia baada ya miaka kadhaa tuwe wapi, wanangu wataish mazingira gan, je tukiumwa tutatoa wapi pesa ya kutuuguza hapo lazm apambane na kushirikiana na mumew kuwekeza ili kuondokana na umaskin.
Elimu ya maisha yapaswa kutolewa kwa jinsia yakike kuwa sote tunawajibu wa kutengeneza familia iliyo bora katika nyanja zote nakama ikiwezekan kuwe kunamgawanyo wa pesa kila mtu achangie kiasi kuendesha familia
Hahaha,Mwaka juzi nilimshirikisha wife kwenye project moja bahati mbayà nikipata loss ya milioni kadhaa, ilikuwa hatari yaani wife alipiga kelele nikakosa amani, mwaka huu sijamshilikisha na nimepata loss kubwa zaidi ila nipo na furaha tu, na nimepanga sitamshirikisha tena
Yani we acha umeolewa wewe sio ukoo mzima aisee to much njaa is harmful for relations ina maana bila huyo mume wasingeishi jamani.[emoji1] [emoji1] [emoji1] utaskia mke anamuambia mume wake mkweo anataka smart phone au wazaz wamesema umlipie mdogo wangu ada[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] sasa mwanaume sijui amemuoa nani kwenye familia hii sabab kila mmoja anamchuna si mkewe, mama mkwe, mashemeji bado baba mkwe si atakimbia nyumba
Kupelekewa ada hiyo mbali mbona, asikie tu mkweo anaumwa hivyo anakuja kutibiwa hapa kwangu umuhudumie, [emoji1] [emoji1] [emoji1] wee hapo mwanamke atawaka atatafuta sabb zakutompokea mama mkwe wake nakujifanya anaumwa ghafla dah Mungu atunusur kwakwel tumezid roho mbayaNa hapo mwanaume ili kutetea taji atapambana akave vyote hata kwa awamu tu[emoji28] ila mwanamke huyo huyo ikitokea mtoto wa kaka wa mume anahitajika ada tu utaona anavyofyum hela ikipelekwa huko!
Mmmmmmhmn ...... [emoji848][emoji848][emoji848]Kifupi ukisha gundua na kuona mmeo hakushirikishi baadhi ya miladi yake yaani kaona Bora hata akifa ipotee kuliko kukuambia wewe ujijue kabisa wewe unamatatizo makubwa Sana .
Ameona kabisa kichwa chako ni bure mzigo tu kwa miguu ila hawezi kukuambia kwa maneno atakuambia kwa vitendo.
Wanawake wengi wenu sio goal oriented mmetanguliza tamaa na ubinafsi mbele ..ndio maana wengi wenu mpo kwenye ndoa kwa ajiri ya kutukamikishia mpango wetu wa kuzaa na mtusaidie kulea watoto Basi.
Pia mwanaume halisi hawezi kuonesha uhalisua wake wote kwa mwanamke ,mwanaume halisi inatakiwa kuto tabirika na kwa mkeo yaani ashindwe kujua wakati gani una pesa na wakati gani hauna na kwa mwezi unapata shi ngapi .
Mwanamke pindi ajuapo uwezo wako ndio kipindi atakacho Anza kukupimanisha uwezo wako na michepuko yake na vi ex vyake na endapo ukazidiwa na hao anao kupimanisha nao Basi dharau zitaanza na kukuona hauna maana. Ndio maana unashauliwa usitabirike kwa mkeo unaweza kuwa na hela nyingi tu ila ukaamua kumkazia kuwa hauna hata Mia na una mlisha dagaa wiki nzima alafu unamlegezea ...hii mbinu itakusaidia hata Kama Kuna siku hauna ukweli.
Pia wanawake wengi wenu sio wavumilivu ...
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kwani hao mashoga walipata wapi taarifa za familia yako kama sio mkeo ndio kawaeleza ukiona hivyo tabia zake huzielew mrudishe kwao akafunzwe vzr namna ya kuishi na mwanaume na umuhimu wa chumba cha wanandoaHuyu mimi dakika 0 tu namzingua, yaani kama sijazaa nae naweza mwambia endelea na maisha yako sasa, haiwezekani tutiane Loss alafu hawa mashost ndio huwa wanaharibu manina zao.
Na hata mama mkwe akija mboga itabadilika ni mchicha, marage na cabbage nyama weekend baba ukiwepo home!Kupelekewa ada hiyo mbali mbona, asikie tu mkweo anaumwa hivyo anakuja kutibiwa hapa kwangu umuhudumie, [emoji1] [emoji1] [emoji1] wee hapo mwanamke atawaka atatafuta sabb zakutompokea mama mkwe wake nakujifanya anaumwa ghafla dah Mungu atunusur kwakwel tumezid roho mbaya
Hahahhaha mwanamke mwenye mashosti kumuoa ni kujitaftia matatizo yani! Nashukuru mengi nilishajifunza juu ya wanawake if i have to make a choice ntachagua mwanamke ambaye ataendana na mimi atleast by 90% hizo kumi ni za kuvumiliana tu![emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kwani hao mashoga walipata wapi taarifa za familia yako kama sio mkeo ndio kawaeleza ukiona hivyo tabia zake huzielew mrudishe kwao akafunzwe vzr namna ya kuishi na mwanaume na umuhimu wa chumba cha wanandoa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwangu papuchi atatoa na kama akiomba hela isiyo kuwa na maelezo ataona jicho limekua lekundu utashangaa anasema basi tu mume wangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], maisha yanasonga ila kama ninacho sometime huwa namnunulia mwenyewe bila hata kuniagiza. Mwanamke sometimes inabidi na kaubabe kawepo. Siku natuma hela nyumbani namwambia natuma hii hela au nampa mwenyewe akaitume sasa ole wake apunguze.Hahahahahah una Moyo kweli! Wengine anakupinga hamna kutuma hela huko[emoji28] ukituma ndani unanuniwa week zima na papuchi hupewi!
Kila comment yeye anahubiri kuachana tu😁Ndugu upo ndoani au una malengo ya kuja kupata mtu ambaye mnaongea same language?
Unampa laki 3 anatuma mbili anakwambia wakala hakuwa na float ya kutosha😅😅😅! Yani mwanamke ana uchungu hata na hela ambayo hajatoa yeye![emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwangu papuchi atatoa na kama akiomba hela isiyo kuwa na maelezo ataona jicho limekua lekundu utashangaa anasema basi tu mume wangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], maisha yanasonga ila kama ninacho sometime huwa namnunulia mwenyewe bila hata kuniagiza. Mwanamke sometimes inabidi na kaubabe kawepo. Siku natuma hela nyumbani namwambia natuma hii hela au nampa mwenyewe akaitume sasa ole wake apunguze.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huo upuuzi wa sheria ya ndoa mtadili nao nyie! Chakula nitanunua ila mke lazma achangie kwenye kuijenga familia ili awe na uchungu na familia! Mwanamke pekee anaweza kufanya haya ni anayekupenda kwa dhati sio wale ambao wananufaika na huduma hizo!
Hii tabia ya kufuga wanawake kama paka au mbwa ndio imepelekea hata wao kuvunja ndoa kwao ni rahisi sababu hawana cha kupoteza! Mgawane mali kirahisi yeye hana alichowahi changia toka mmeanza atakuwa vipi na uchungu na wewe?
Nyumba umejenga wewe, gari umenunua wewe lako na lake, biashara umefungua wewe au kazi umemtafutia wewe .Yeye kazi yake ni kutanua mapaja tu na kujiliza liza na shida zake za kila siku akiskilizia utoe hela umpege tu! Na kazi anayo hapo...
Kwa sisi mila zetu za kipare mwanamke ni muwajibikaji sio mfugo!