NAOMBA NITOE YANGU YA MOYONI NA HII IMENIFIKA MIMI ,NATAKA IWASAIDIE WANAUME AMBAO WANATAKA KUOA.
nina mwaka wa 3 kwenye ndoa na maisha yangu ya ndoa ni ya furaha mke hana tatizo na ana akili ya maisha vzri tu.
Mke wako kujua mshahara wako haina shida kama ana akili ya maisha na akiba.
mimi mke wangu ni mchumi na mbahili kwenye hela kuliko hata mimi,yani naweza nkabaki na laki 2 ya mwisho mfukoni ,wife akijua hilo tunaingia katika state ya POWER MODE/BATTERY SAVER matumizi yanabanwa ili yafike mwisho wa mwezi.
SHIDA IPO HIVII.........
Kwa kuwa mshahara mke wangua anaujua ,kila expenditure ya hela lzma atake kujua yani [emoji23][emoji23][emoji23] wakuu nacheka kama mazuri ,
nikitoa 50k nihonge ka manzi ka pembeni ,atahoji ""ile 50k mbona siioni umenunua nini?""
nkienda pata maji matamu/bia nkaspend kama 80k kwa usiku mmoja ,ni ugomvi nyumbani kwamba nafuja hela
CHA KUSHANGAZA WAKUU.
mimi huwa natoa 75% ya mshahara naleta home ili ukae na 25% unabaki benki na mke anajua mgawanyo wa hela ,ila ataenda kuhesabu upya hela nilizoleta tena anaweka na MATE kwenye kidole azihesabu vzri kwa kifupi nisiwachoshe wakuu ni kama CAG / mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za nyumbani.
hata nkisema nilete ukali sa hv tyr kashaujua mshahara nirahisi kunifatilia sana.
NILICHOPANGA KUFANYA
nkipata post na promotion kazini ya nyongeza ya hela hatokuja kuijuaaa kwamweeee ,kamweeeee
kidume hata hela ya kuchepuka sina ,hili kosa la kujifanya HUSBAND MATERIAL SIYO ZURI JMN. MWANAUME NI MWENDO WA JICHO NYANYA TU
Mke ajue 75% ya salary ,Ndugu zako wajue 25% ya mshahar jiroge waambie ndugu unapokea milioni utajua haujui , mchepuko hapaswi kujua mshahara kbsaaa...
ova