Kwanini wanaume waliooa huacha kuwashirikisha wenza wao kwenye vyanzo vyao vya mapato?

Kwanini wanaume waliooa huacha kuwashirikisha wenza wao kwenye vyanzo vyao vya mapato?

Sasa this was what i was trying to explain japo from my own point of view!

Hapo kuna mwanamke ambaye yupo tayari to work with you as a team kujenga future yenu! Mwanamke wa hivyo hawezi kuficha hela zake au kuwa mchoyo na hela zake pale ambapo atakuwa anahitajika kutoa support!

Wanaume wengi ni wahanga wa mistreatments za wanawake wabinafsi na wachoyo to an extent wanahisi kuwa wanawake wapo sahihi kuwa mistreat!
Ila tunatakiwa sote tutambue maisha ya sasa yapoje na yanahitaj nini ili kufika tunapopatak. Kwasasa hatuhitaj tena kuwa na upande wakutegemea na mwngn wakutegemewa Sababu hali imekuwa ngumu.
Tunapaswa kushirikiana as a team na kupamban na hali ya sasa.
Ila katika haya yote wapo wanaume wapuuzi ambao wanatengeneza vzr na mkewe ila mwishoe anaenda kumpa mchepuko nakuanza kutumia pesa hovyo hovyo paspo kujali kuwa hata mkew anahaki yakuzitumia hizo pesa. Wakielezwa huwa wakorofi na kutengeneza sabb ya kuachana na mkewe ndio maana usishangae mke kujenga kivyake pasipo mume kujua hii inatokan na nyie wanaume kuvunja imani ya mwanamke huyu mvumilivu
 
Sasa this was what i was trying to explain japo from my own point of view!

Hapo kuna mwanamke ambaye yupo tayari to work with you as a team kujenga future yenu! Mwanamke wa hivyo hawezi kuficha hela zake au kuwa mchoyo na hela zake pale ambapo atakuwa anahitajika kutoa support!

Wanaume wengi ni wahanga wa mistreatments za wanawake wabinafsi na wachoyo to an extent wanahisi kuwa wanawake wapo sahihi kuwa mistreat!
Hapo itabidi wanaume nawenyewe waelew kuwa mwanamke nae anahaki yakujua Mali za mumewe na kushirik kikamilifu sabab kuna visa vingi vinatokea.
Mfano kuna baba mmoja huku mtaani amekufa ikiwa yuko Nyumba za kupanga na alikuwa na kazi nzur, mkewe hajui Mali za mumewe na ndugu zake pia hawazijui baada ya mazishi kuisha ndio wakaanza kufuatilia wakakuta huyo marehem nyaraka zote za Mali zake na kila kitu chake alimpa mchepuko kama msimamizi. Visa kama hivi vinapelekea wanawake kuogopa zaid kuchangia ndani ya familia badala yake wanaanza kutengeneza maisha yao kwa siri sana
 
Ila tunatakiwa sote tutambue maisha ya sasa yapoje na yanahitaj nini ili kufika tunapopatak. Kwasasa hatuhitaj tena kuwa na upande wakutegemea na mwngn wakutegemewa Sababu hali imekuwa ngumu.
Tunapaswa kushirikiana as a team na kupamban na hali ya sasa.
Ila katika haya yote wapo wanaume wapuuzi ambao wanatengeneza vzr na mkewe ila mwishoe anaenda kumpa mchepuko nakuanza kutumia pesa hovyo hovyo paspo kujali kuwa hata mkew anahaki yakuzitumia hizo pesa. Wakielezwa huwa wakorofi na kutengeneza sabb ya kuachana na mkewe ndio maana usishangae mke kujenga kivyake pasipo mume kujua hii inatokan na nyie wanaume kuvunja imani ya mwanamke huyu mvumilivu
Imani ikivunjika ni tatizo but tu nachokiona kila mtu awajibike kwa ndoa by 100%! Tabia za michepuko zinatokeaga mke anapoanza kupoa katika kumpa huduma mume ama kuleta mazoea ya kijinga!

Ndoa ili iwe tamu kuwe na balance ya mambo yote. Uchumi na mapenzi yenyewe kama wanandoa! Mke unakuta inafikia muda kukupa K mpaka ajiskie yeye na hapo hupigi kila siku yani pengine unapiga twice per week na sio kukamia show ile ni haste haste tu! Mke anakupaga goli moja tu na still anakuzungusha utafikiri sijui kitu gani!

Binafsi kitakachofanya nichepuke ni hiki tu! Niwe na nyege huduma sipewi... Hapo tutalaumiana tu na wala sitoenda kushtaki popote pale ila ntajiongeza tu!
 
Yani we acha umeolewa wewe sio ukoo mzima aisee to much njaa is harmful for relations ina maana bila huyo mume wasingeishi jamani.
Njaa zitatuua kwakwel nasasahiv mwanaum akiwa na hela wazaz weny njaa watamuona kama malaika ataakisema wamsafishie gari utamuona baba mkwe ananyenyuka kusafisha yote tu kupata unaafuu wa maisha.
Jaman tunapaswa kujua umuhim wakufany kaz na kujitegemea kiakili pamoja na kuwaelimisha wazaz kwanza washukur kwa maisha waliyo nayo nawaelew maisha ya binti pamoja nakulinda furaha ya binti yao
 
Hapo itabidi wanaume nawenyewe waelew kuwa mwanamke nae anahaki yakujua Mali za mumewe na kushirik kikamilifu sabab kuna visa vingi vinatokea.
Mfano kuna baba mmoja huku mtaani amekufa ikiwa yuko Nyumba za kupanga na alikuwa na kazi nzur, mkewe hajui Mali za mumewe na ndugu zake pia hawazijui baada ya mazishi kuisha ndio wakaanza kufuatilia wakakuta huyo marehem nyaraka zote za Mali zake na kila kitu chake alimpa mchepuko kama msimamizi. Visa kama hivi vinapelekea wanawake kuogopa zaid kuchangia ndani ya familia badala yake wanaanza kutengeneza maisha yao kwa siri sana
Mwanamke wako unamjua tu baada ya kuishi nae kuwa ana akili gani! Wanawake wengine huwakwa na tamaa ya mali vibaya mno yani unaona kabisa angekuwa na uwezo hata angekuua tu ila amiliki mali.

Hawa ndo wanapelekea hali ya vificho vya mali anazomiliki yani! Unakuta mke anachemsha hamuheshimu tena wala kum treat vizuri hapo lazma achepuke tu na kisha ataanza kumpa ramani mchepuko maana ndio anamtreat kwa heshima!
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kwani hao mashoga walipata wapi taarifa za familia yako kama sio mkeo ndio kawaeleza ukiona hivyo tabia zake huzielew mrudishe kwao akafunzwe vzr namna ya kuishi na mwanaume na umuhimu wa chumba cha wanandoa
Kabisa mkuu nikurudisha nyumbani huyu nyambafu na ukiona hivyo wanasimuliana wote.
 
Mwanamke wako unamjua tu baada ya kuishi nae kuwa ana akili gani! Wanawake wengine huwakwa na tamaa ya mali vibaya mno yani unaona kabisa angekuwa na uwezo hata angekuua tu ila amiliki mali.

Hawa ndo wanapelekea hali ya vificho vya mali anazomiliki yani! Unakuta mke anachemsha hamuheshimu tena wala kum treat vizuri hapo lazma achepuke tu na kisha ataanza kumpa ramani mchepuko maana ndio anamtreat kwa heshima!
Kwa hali hii inabidi wanawake walioko kwenye ndoa wabadilike saaana tu maana matukio ni mabaya sana yanawakumba hao wanandoa.
Sijui tumecopy wapi tabia hizi unakuta anaefny matendo maovu kwny ndoa ni mtoto wakiongoz wa dini kasoma shule za kidini ila bado anafanya madudu, je wale waliokulia kitaaa sijui familia zao zikoje
 
Unampa laki 3 anatuma mbili anakwambia wakala hakuwa na float ya kutosha[emoji28][emoji28][emoji28]! Yani mwanamke ana uchungu hata na hela ambayo hajatoa yeye!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nashukuru Mungu sijabahatisha mwanamke wa Dizaini hiyo ndugu zangu anawapokea vizuri na kuwahudumia ipasavyo hadi niliwahi mchunguza, na nikimpa hela akaitume inatumwa yote hajawai ipunguza, mapungufu yapo tu na ndio yanayo tufanya tuwe na jicho jekundu [emoji23][emoji23][emoji23] maana anajua dakika 0 nambadilikia.
 
siokuwashilikishatu hamfaihatakupewa mitaji kamahujasoma hunakaziyeyote bakinyumbani leawatoto kamaunao mstakekuchanganya watu namamboyenu mengimengi
 
Kwasababu baadhi ya wanawake hawataki wanaume tusaidie familia zetu ila wanataka tuwatngenezee upande wa kwao akijua kipato chako anakipangia bajeti na lazma iwe ugomvi lakin pia likitokea tatzo fadhila zao kwetu ni kutudharau kudai talaka na kwenda mahakamani kudai kugawana mali ili kuhakikisha anakukomoa kabsa Sasa akijua vichochoro vyako vyote atakumaliza kirahisi anatakiwa asijue akiba wala unaingiza shingap ili angalau siku akianza uadui asikumalize ili aendelee na maisha yake kwa amani na wewe uendelee na maisha yako
 
Dah kazi kweli kweli mie sivumilii upumbavu na shida za mtu asiye jielewa na asiye supportive maana kuendelea kubaki naye ni sawa kuwa na sindano mwilini inakuchoma tu, Sasa partner wako sio supportive anawaza ujinga na vitu ambavyo hafikirii kesho ya familia huyo wa nini sasa, dah Mimi siogopi kuanza
Wanaume wote wana fikra sawa na wewe ila shida moja ni kuwa hawa viumbe wote wanafanana tabia sasa utaacha wangapi
 
Hekima ya kweli ni kujua kwamba haujui chochote, maana nishatiya akili ni kiini cha maisha....😊
 
Mwanzo tulikuwa tunawashilikisha sababu tulikua hatujajua their true color lakini baada kujua kuwa wengine ni wapumbavu inabidi rufanye kimya kimya pasi taarifa
 
Kuna jamaa kafa afu uncle kabahatika mjengo wa bure...marehemu alimthamini mtu baki kuliko kumwambia mkewe kuhusu Mali zake.Jumba hilo alikuwa anajenga kisirisiri
 
Dah kazi kweli kweli mie sivumilii upumbavu na shida za mtu asiye jielewa na asiye supportive maana kuendelea kubaki naye ni sawa kuwa na sindano mwilini inakuchoma tu, Sasa partner wako sio supportive anawaza ujinga na vitu ambavyo hafikirii kesho ya familia huyo wa nini sasa, dah Mimi siogopi kuanza
Unakuwa ni mzigo wa kujitakia
 
Kuna jamaa kafa afu uncle kabahatika mjengo wa bure...marehemu alimthamini mtu baki kuliko kumwambia mkewe kuhusu Mali zake.Jumba hilo alikuwa anajenga kisirisiri
Fresh tu Kama uncle ni wa thamani kushinda wewe je
 
Back
Top Bottom