1.ukimuoa mwanamke ndo utajua alikuwa ana act vitu vingi na sio kufanya sababu ya mapenzi...big turn OFF
2.Freedom
Hamna kitu kinamfanya mwanaume kufanya mambo ya ajabu km mwanamke anayemnyima freedom na hapo hapo hampi sex au anampangia masharti kwenye mapenzi.Amekaa kaa tu km dada yako hlf analeta visheria vya kipuuzi.Hapa ndo wengi wenu ht makofi mnapigwaga mixer kuonyeshwa dharau za wazi waZi.Mwanaume anapenda uhuru, SAWA unaweza kumnyima uhuru huo kiakili sana hasa km mwanamke ana libido kubwa which is rare.Best way ya kupora uhuru wetu ni kutupa sex tu otherwise utabutuliwa makofi kila siku unayolazimisha ashinde home na wewe
3.Sex sex sex
The moment,sex imekuwa ya masharti na ya kubembeleza sana .JUA KABISA U ARE USELESS mimi km mwanaume naamini mwanaume hawezi kuwa na mapenzi ya dhati na mwanamke ambaye anafanya nae sex ili mradi,80% ya wanaume hawawezi kumpenda mwanamke kwa kipindi kirefu hada km sex anachukulia km sio jukumu lake kutimiza.Chekeni,tokeni outings,dance pamoja ila km unachukulia hilo linatosha ujue kabisa unapoteza mda wako tu.Asilimia 80 ya matatizo ya kwenye ndoa yangeweza kuisha km wanawake wangejua sex ni number one priority ya mwanaume.Kwani mwanaume anataka mambo mengi basi sex na heshima basiiiiiiii mengine yote ni kimbelembele chako tu.
When sex is good na mwanamke anaonyesha ni kiupaumbele kwenye ndoa basi mwanaume automatic anawahi nyumbani tu.Mwanamke alianza kutumia sex km fimbo ya kumchapia mwanaume ujue kabisa mwanaume atakufanyia vitu vya kipuuzi kwa kujiamini sana mpk utashangaa inamaana huyu hawazi kuwa naumia in fact anataka kukuumiza. Sababu you are useless kwake ni vifurushi tu la mahindi,thamani yako imeshuka.
Kwenye kitchen party zenu kila siku mnaambiwa mwanaume we mpe tu akitaka ht ukichoka we mpe tu basi wewe unahisi labda ni utumwa sio utumwa.Hiyo ndo njia sahihi ya kumtawala mwanaume otherwise utashangaa unadondosha kijiko unafokewa ,umezidi chumvi kdg chakula hali,unaomba 50k unaitwa una matumizi ya kijinga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwani kahaba anawezaje kumfanya mwanaume mwenye masters vyeti O.G kutelekeza familia!kumjengea nyumba!kumfungulia biashara!Kahaba ana nini cha ziada heshima hana,utupu umechoka,madhaifu kibao unadhani anakushinda wapi wewe ambaye mwanaume kwa akili zake alikuona unafaa kuwa mke wake?utasikia uchawi kabla ya uchawi kuna unlimited good sex isiyo na masimang’o.