Kwanini wanaume waliooa huwasiliana na marafiki zao wa kike wiki chache baada ya ndoa?

Kwanini wanaume waliooa huwasiliana na marafiki zao wa kike wiki chache baada ya ndoa?

Ni katika kuhakikisha tu undugu na urafiki unabaki
 
Asipo kuelewa na hapa basi hataki jibu.

Ukiondoa sex wanaume tusingekuwa nashida na wanawake kabisa hata hao wenye mashape kama show mbovu nae anatemwa tu.

Wanajifanyaga vichwa vigumu tu

Mwanamke hana cha maana cha kumpa mwanaume akaridhika zaidi ya sex .Vingine vyote ni upuuzi tu na kero tu
 
Wanajifanyaga vichwa vigumu tu

Mwanamke hana cha maana cha kumpa mwanaume akaridhika zaidi ya sex .Vingine vyote ni upuuzi tu na kero tu
Kwani anavozani yeye huko kwa marafiki zake wazamani mwanaume anafata future au pesa?
Kule anafata gegedo tu, Nahisi ndy maana ya mwende mkaijazee dunia.
 
Merry Christmas Dears,

Ndugu zetu wa kiume mliooa, naombeni mnisaidie kunifahamisha kitu gani huwa kinafanya baadhi yenu mrudishe attention kwa kasi kwa washikaji zenu (hasa wa kike) miezi kadhaa baada ya kuoa na wakati miezi ya awali huwa mnawafungia vioo na kuwapotezea kabisa, baada ya muda mfupi tu huwa mnajikuta mmebadilika kabisa, Je, ni kwanini..!?

Enwei, karibuni sikukuu ila mje na kifukuza nyuki maana siyo kwa bucket hii ya fanta orange..!! 😂
Hii inaleta ujasiri kwamba hawawezi kufanya lolote kwakuwa umeshaoa...mimi ilinikuta hii ila MKE WANGU aliwapiga mkwara wa kutosha.
 
Merry Christmas Dears,

Ndugu zetu wa kiume mliooa, naombeni mnisaidie kunifahamisha kitu gani huwa kinafanya baadhi yenu mrudishe attention kwa kasi kwa washikaji zenu (hasa wa kike) miezi kadhaa baada ya kuoa na wakati miezi ya awali huwa mnawafungia vioo na kuwapotezea kabisa, baada ya muda mfupi tu huwa mnajikuta mmebadilika kabisa, Je, ni kwanini..!?

Enwei, karibuni sikukuu ila mje na kifukuza nyuki maana siyo kwa bucket hii ya fanta orange..!! 😂
sister maixha tu yaan katka dunia hii kuna mengi
 
Back
Top Bottom