We mwanamke gan hutaki kutamaniwa?Hivi kwanini wanaume upenda kuangalia maziwa ya mwanamke. Hii tabia inakera sana unakuta mtu unamheshim kama kaka au ndugu, wakati wa kuongea nae badala ya kueka concetration katika kile mnachoongea yeye anaanza kukodolea macho kifuani (maziwa). Hii tabia inakera ipo siku ntakuja kumtemea mate usoni mtoto wa mtu.
Nachukia sana karibia wanaume wote naokutana nao wana hii tabiaLimekukuta nini ? 😄 🤣 😂 😆 😄
😹😹😹Ukute hapo wewe ni mwanaume kabisa na mavuzi unayo halafu unaigiza umama, hebu badirika.
Kamtamani mkeoWe mwanamke gan hutaki kutamaniwa?
🤣🤣🤣🤣 ukilewa usichatiUkute hapo wewe ni mwanaume kabisa na mavuzi unayo halafu unaigiza umama, hebu badirika.
Ili iweje???Ukute hapo wewe ni mwanaume kabisa na mavuzi unayo halafu unaigiza umama, hebu badirika.
Achana nao cuteNachukia sana karibu wanaume wote naokutana nao wana hii tabia
Hakika hili ni gumu Sana kuacha...Na nyie muache kuangalia kuangalia zipu zetu.
Mozowo hoyo hoyo mnoyoyosomomosho kwo lozomo!! Mbona bado manayaangalia hayo yanayosimamishwa kwa lazima?Akiyaangalia anaondoka nayo?, maziwa haya haya mnayoyasimamisha kwa lazima ndo umtemee ntu mate?