Kwanini wanaume wanapenda kuangalia maziwa?

Kwanini wanaume wanapenda kuangalia maziwa?

Hivi kwanini wanaume upenda kuangalia maziwa ya mwanamke. Hii tabia inakera sana unakuta mtu unamheshim kama kaka au ndugu, wakati wa kuongea nae badala ya kueka concetration katika kile mnachoongea yeye anaanza kukodolea macho kifuani (maziwa). Hii tabia inakera ipo siku ntakuja kumtemea mate usoni mtoto wa mtu.
Tunaangalia kama umekomaa unyonywe.....
 
Hebu weka picha tuone kwanza ndio tutapata jibu.
20231229_173800.jpg
 
Ni jambo la kawaida kwa mwanaume kuangalia boob hasa yakiwa makubwa kama ya Dolly Parton zamani
Kama unakereka jifunike shuka 😄 la sivyo hata wazee hatupitwi
Ni kawaida ila ukiona anaangalia sana usimtemee bali yatikise alie kabisa
 
Hivi kwanini wanaume upenda kuangalia maziwa ya mwanamke. Hii tabia inakera sana unakuta mtu unamheshim kama kaka au ndugu, wakati wa kuongea nae badala ya kueka concetration katika kile mnachoongea yeye anaanza kukodolea macho kifuani (maziwa). Hii tabia inakera ipo siku ntakuja kumtemea mate usoni mtoto wa mtu.
why uyaache wazi?
 
Hivi kwanini wanaume upenda kuangalia maziwa ya mwanamke. Hii tabia inakera sana unakuta mtu unamheshim kama kaka au ndugu, wakati wa kuongea nae badala ya kueka concetration katika kile mnachoongea yeye anaanza kukodolea macho kifuani (maziwa). Hii tabia inakera ipo siku ntakuja kumtemea mate usoni mtoto wa mtu.
Jifunze kumshukuru Mungu unacho hicho walau kinatazamika. Ila kwakua huna shukrani unataka kutemea mate watoto wa watu wanaotoa shukrani kwa Mungu kwa uumbaji wa kiumbe chake. Shenzi kabisa
 
Hivi kwanini wanaume upenda kuangalia maziwa ya mwanamke. Hii tabia inakera sana unakuta mtu unamheshim kama kaka au ndugu, wakati wa kuongea nae badala ya kueka concetration katika kile mnachoongea yeye anaanza kukodolea macho kifuani (maziwa). Hii tabia inakera ipo siku ntakuja kumtemea mate usoni mtoto wa mtu.
Sasa kwanini uvae kimtego kama hutaki kuangaliwa kifua na mimi? Usiniletee upuuzi wako sasa, wacha nikuangalie vizuri, mbona kama yanaanza kusimama sasa, umedata na mimi nini😱
 
Back
Top Bottom