Kwanini wanaume wanapenda kuangalia maziwa?

Kwanini wanaume wanapenda kuangalia maziwa?

Hivi kwanini wanaume upenda kuangalia maziwa ya mwanamke. Hii tabia inakera sana unakuta mtu unamheshim kama kaka au ndugu, wakati wa kuongea nae badala ya kueka concetration katika kile mnachoongea yeye anaanza kukodolea macho kifuani (maziwa). Hii tabia inakera ipo siku ntakuja kumtemea mate usoni mtoto wa mtu.
Kwa nn umtemeee mate huo ni USHAMBA πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hivi kwanini wanaume upenda kuangalia maziwa ya mwanamke. Hii tabia inakera sana unakuta mtu unamheshim kama kaka au ndugu, wakati wa kuongea nae badala ya kueka concetration katika kile mnachoongea yeye anaanza kukodolea macho kifuani (maziwa). Hii tabia inakera ipo siku ntakuja kumtemea mate usoni mtoto wa mtu.
Au una kandambili chapa jangwani ndo maana unamind
1719242263607.jpg
 
Mi naangaliaga matako yao, ila wanaume wameumbika vibaya unakuta kota limekaa km pembe 3 lingine km pentagon aiiii
Hapo kwa kota kuwa pembe 3, sina mbavu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ yaani kuna wako wako tu. Wengine unajiuliza anakalia nini? Ni flat haswa japo wanasema eti nyama zote zimeenda mbele... πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Hivi kwanini wanaume upenda kuangalia maziwa ya mwanamke. Hii tabia inakera sana unakuta mtu unamheshim kama kaka au ndugu, wakati wa kuonge nae badala ya kueka concetration katika kile mnachoongelea yeye anaanza kukodolea macho kifuani (maziwa). Hii tabia inakera ipo siku ntakuja kumtemea mate usoni mtoto wa mtu.
Sasa mwanamke ana kitu gani haswa cha kuongea na mwanaume cha maana hadi mwanaume kuwa makini kama unavyo taka.
 
Hapo kwa kota kuwa pembe 3, sina mbavu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ yaani kuna wako wako tu. Wengine unajiuliza anakalia nini? Ni flat haswa japo wanasema eti nyama zote zimeenda mbele... πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…nasikia wasio na kota wamepewa chini mizigo ya maana kwahiyo ukiona dume lina shape shape ujue huko namna gani ni kiocra!!! Wacha nikarare nikue
 
Back
Top Bottom