Kwanini wanaume wanapenda kuangalia maziwa?

Kwanini wanaume wanapenda kuangalia maziwa?

IMG_6817.jpeg
 
Hivi kwanini wanaume upenda kuangalia maziwa ya mwanamke. Hii tabia inakera sana unakuta mtu unamheshim kama kaka au ndugu, wakati wa kuonge nae badala ya kueka concetration katika kile mnachoongelea yeye anaanza kukodolea macho kifuani (maziwa). Hii tabia inakera ipo siku ntakuja kumtemea mate usoni mtoto wa mtu.
Picha ya hayo Maziwa tuone na Sisi
 
Hivi kwanini wanaume upenda kuangalia maziwa ya mwanamke. Hii tabia inakera sana unakuta mtu unamheshim kama kaka au ndugu, wakati wa kuonge nae badala ya kueka concetration katika kile mnachoongelea yeye anaanza kukodolea macho kifuani (maziwa). Hii tabia inakera ipo siku ntakuja kumtemea mate usoni mtoto wa mtu.
Yafiche , ukiyaacha wazi tunayaangalia , Mwalimu wangu wa Organic Chemistry alikuwa anaita Optic Nutrition
 
Ugonjwa wangu. Nimeshazoea lazima niangalie zipu na hakuna hata cha maana. 🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️
Vp ukiangalia zipu unajiskiaje baby, kama kumevimba je? Mi nikikutana na watu kama wewe sivai boxer ili paip ijichore vzr hapa mbele Tena ivimbe afu tuone utajiskiaje au utafanya nini,

Na ukiniletea mazoea nakukula bila huruma
 
Hivi kwanini wanaume upenda kuangalia maziwa ya mwanamke. Hii tabia inakera sana unakuta mtu unamheshim kama kaka au ndugu, wakati wa kuonge nae badala ya kueka concetration katika kile mnachoongelea yeye anaanza kukodolea macho kifuani (maziwa). Hii tabia inakera ipo siku ntakuja kumtemea mate usoni mtoto wa mtu.
Duu!
 
Hivi kwanini wanaume upenda kuangalia maziwa ya mwanamke. Hii tabia inakera sana unakuta mtu unamheshim kama kaka au ndugu, wakati wa kuonge nae badala ya kueka concetration katika kile mnachoongelea yeye anaanza kukodolea macho kifuani (maziwa). Hii tabia inakera ipo siku ntakuja kumtemea mate usoni mtoto wa mtu.
Kuangalia maziwa ya mwanamke uongeza muda wa kuishi duniani
 
Back
Top Bottom