Kwanini wanaume wanapenda kuangalia maziwa?

Kwanini wanaume wanapenda kuangalia maziwa?

Kwasababu yanakuwa open... yakifunikwa vizuri hawaangalii, hakikisha yanafunikwa vizuri... Ni sawa na kusema kwanini mtu akiona chakula anawaza kula, ila chakula kisipooneka kama sina njaa siwezi kuwaza kula pia...
 
Hivi kwanini wanaume upenda kuangalia maziwa ya mwanamke. Hii tabia inakera sana unakuta mtu unamheshim kama kaka au ndugu, wakati wa kuonge nae badala ya kueka concetration katika kile mnachoongelea yeye anaanza kukodolea macho kifuani (maziwa). Hii tabia inakera ipo siku ntakuja kumtemea mate usoni mtoto wa mtu.

Hivi kwanini wanaume upenda kuangalia maziwa ya mwanamke. Hii tabia inakera sana unakuta mtu unamheshim kama kaka au ndugu, wakati wa kuonge nae badala ya kueka concetration katika kile mnachoongelea yeye anaanza kukodolea macho kifuani (maziwa). Hii tabia inakera ipo siku ntakuja kumtemea mate usoni mtoto wa mtu.

Hivi kwanini wanaume upenda kuangalia maziwa ya mwanamke. Hii tabia inakera sana unakuta mtu unamheshim kama kaka au ndugu, wakati wa kuonge nae badala ya kueka concetration katika kile mnachoongelea yeye anaanza kukodolea macho kifuani (maziwa). Hii tabia inakera ipo siku ntakuja kumtemea mate usoni mtoto wa mtu.
Tunavuta hisia tulivyokuwa watoto
 
Hapo kwa kota kuwa pembe 3, sina mbavu 😂😂😂😂😂 yaani kuna wako wako tu. Wengine unajiuliza anakalia nini? Ni flat haswa japo wanasema eti nyama zote zimeenda mbele... 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
Ndo maana nikitoka kupeleka moto huwa narudi reverse/kinyumenyume hadi ilipo boxer navaa chapchap, siruhusu mwanamke aone makalio yangu kwa namna yoyote ile.
 
Back
Top Bottom