Kwanini wanaume wanapenda kuangalia maziwa?

Kwanini wanaume wanapenda kuangalia maziwa?

Hivi kwanini wanaume upenda kuangalia maziwa ya mwanamke. Hii tabia inakera sana unakuta mtu unamheshim kama kaka au ndugu, wakati wa kuongea nae badala ya kuweka concetration katika kile mnachoongelea yeye anaanza kukodolea macho kifuani (maziwa).

Hii tabia inakera ipo siku nitakuja kumtemea mate usoni mtoto wa mtu.
Na wewe umemwionaje:,,??pengine na wewe ulikuwa unaangalia kifua akaona apige cmbk
 
Hivi kwanini wanaume upenda kuangalia maziwa ya mwanamke. Hii tabia inakera sana unakuta mtu unamheshim kama kaka au ndugu, wakati wa kuongea nae badala ya kuweka concetration katika kile mnachoongelea yeye anaanza kukodolea macho kifuani (maziwa).

Hii tabia inakera ipo siku nitakuja kumtemea mate usoni mtoto wa mtu.
Hutaki wajuba waangalie ndala 😂😂🤣, siku hizi tutoto twa 2005 hata naniliu hawavai ili tv ionekane clear. Pole sana
 
Hivi kwanini wanaume upenda kuangalia maziwa ya mwanamke. Hii tabia inakera sana unakuta mtu unamheshim kama kaka au ndugu, wakati wa kuongea nae badala ya kuweka concetration katika kile mnachoongelea yeye anaanza kukodolea macho kifuani (maziwa).

Hii tabia inakera ipo siku nitakuja kumtemea mate usoni mtoto wa mtu.
Wee mwehu nini? Wee si mwanamke? Unataka tuangalie nini? Na kwa taarifa yako wanawake mmeumbwa kuwa matamanio ya wanaume! Zaidi ya hapo baada ya kuangalia maziwa tunapeleka hisia na kukuvua nguo na ......! Mxiuuuuh! ntuchake
 
Sio kama ya Tina Turner( rip)
Wala usimshangae jamaa hapo
Screenshot_20240716_071435_Google~2.png
 
Hivi kwanini wanaume upenda kuangalia maziwa ya mwanamke. Hii tabia inakera sana unakuta mtu unamheshim kama kaka au ndugu, wakati wa kuongea nae badala ya kuweka concetration katika kile mnachoongelea yeye anaanza kukodolea macho kifuani (maziwa).

Hii tabia inakera ipo siku nitakuja kumtemea mate usoni mtoto wa mtu.
Eehh
 
Back
Top Bottom