Kwanini wanaume wanapenda kuangalia maziwa?

Mi nashangaa Evelyn maana akikutana na sisi wadada na bado tunaangalia nyonyo pia sijui atafanyajeπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Ni kweli kabisa.....

Mie hata nikikutana na mdada ana mawowowo lazma niangalie.

kuna siku napita mitaa ya kinyerezi mdada anakimbia barabarani kavaa tight ile shepu kidogo npate ajali kwa kumshangaa. Hadi nkajisemea kumbe wanaume wanapitia mengi tuwaombee wakiwa barabarani.

Sasa huyu kuangaliwa nyonyo tu eti anakasirika jamani.
 
Mi hadi rafiki zangu wananitania β€œlesbian”…naangalia vizuri na nasifia na kujadili juu. Hakuna cha ajabu, kama Mungu fundi sharti tuseme Mashaallah…
 
Nachukia sana karibia wanaume wote naokutana nao wana hii tabia
Bora hao wana Angalia Yule anae nyonya je?
 
Halafu hii tabia ya wanawake kutuona baadhi yetu kama kaka zao hukera sana, mimi sio kaka yako, sina undugu wa damu na wewe, nikipata fursa nakutafuna tu.
 
Mi nashangaa Evelyn maana akikutana na sisi wadada na bado tunaangalia nyonyo pia sijui atafanyajeπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Kumbe sio tako tuu ata nyonyo nzuri za wanawake wenzenu mnaziangalia 🀣🀣🀣🀣
 
Hivi hebu tofautisha maziwa , matiti, chuchu na nyonyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…