amshapopo
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 1,834
- 4,161
😂😂😂Kwakweli ni addiction kwa kuwa hata ua kwangu jioni naporudi home nikivua tu bra ni lazima niyachezee haswaa nikiridhika ndipo nikaoge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Kwakweli ni addiction kwa kuwa hata ua kwangu jioni naporudi home nikivua tu bra ni lazima niyachezee haswaa nikiridhika ndipo nikaoge
Hiv kumbeHuenda una kifua kidogo kilichobeba matiti makubwa, mashaallah. Hivyo wanaushangaa uumbaji huo.
Ni kweli kabisa.....Mi nashangaa Evelyn maana akikutana na sisi wadada na bado tunaangalia nyonyo pia sijui atafanyaje😅😅😅😅
Full moon breasts, wacha kabisa!Hiv kumbe
Mi hadi rafiki zangu wananitania “lesbian”…naangalia vizuri na nasifia na kujadili juu. Hakuna cha ajabu, kama Mungu fundi sharti tuseme Mashaallah…Ni kweli kabisa.....
Mie hata nikikutana na mdada ana mawowowo lazma niangalie.
kuna siku napita mitaa ya kinyerezi mdada anakimbia barabarani kavaa tight ile shepu kidogo npate ajali kwa kumshangaa. Hadi nkajisemea kumbe wanaume wanapitia mengi tuwaombee wakiwa barabarani.
Sasa huyu kuangaliwa nyonyo tu eti anakasirika jamani.
Bora hao wana Angalia Yule anae nyonya je?Nachukia sana karibia wanaume wote naokutana nao wana hii tabia
Hivi kwanini wanaume hupenda kuangalia maziwa ya mwanamke. Hii tabia inakera sana unakuta mtu unamheshimu kama kaka au ndugu, wakati wa kuongea nae badala ya kuweka concetration katika kile mnachoongelea yeye anaanza kukodolea macho kifuani (maziwa).
Hii tabia inakera ipo siku nitakuja kumtemea mate usoni mtoto wa mtu.
Kumbe sio tako tuu ata nyonyo nzuri za wanawake wenzenu mnaziangalia 🤣🤣🤣🤣Mi nashangaa Evelyn maana akikutana na sisi wadada na bado tunaangalia nyonyo pia sijui atafanyaje😅😅😅😅
KumbeHakika hili ni gumu Sana kuacha...
Usimwage mchele kwenye kuku wengiUnatafsiri nini
Na Sisi tunaoangalia Miguu tunakagua kuanzia Vidole vilivyopishana mpaka kisigino alafu tunaanza kupanda juu tunasubiria uzi wetuWewe ndo wale wanaobusti maziwa na kuyaacha wazi
😆😘😘Wewe ndo wale wanaobusti maziwa na kuyaacha wazi
Unayachezea, na kuselfiiiKwakweli ni addiction kwa kuwa hata ua kwangu jioni naporudi home nikivua tu bra ni lazima niyachezee haswaa nikiridhika ndipo nikaoge
HakikaWanapimia macho kujua nimateso au furaha,siri ya kujua mara nyingi urefu wa mtu unaweza jua hapa hali ikoje by imagination
Hivi hebu tofautisha maziwa , matiti, chuchu na nyonyoHivi kwanini wanaume hupenda kuangalia maziwa ya mwanamke. Hii tabia inakera sana unakuta mtu unamheshimu kama kaka au ndugu, wakati wa kuongea nae badala ya kuweka concetration katika kile mnachoongelea yeye anaanza kukodolea macho kifuani (maziwa).
Hii tabia inakera ipo siku nitakuja kumtemea mate usoni mtoto wa mtu.
Basi sawaFull moon breasts, wacha kabisa!
Hii sio kwelii...kuna wanawake wamebarikiwa vifua Mashallah titi kubwa ata ukivaa nguo YA kujifunika vizuir bado litaonekana tu huwa halijifichiWewe ndo wale wanaobusti maziwa na kuyaacha wazi