Kwanini wanaume wanapenda kuangalia maziwa?

Kwanini wanaume wanapenda kuangalia maziwa?

Mi nashangaa Evelyn maana akikutana na sisi wadada na bado tunaangalia nyonyo pia sijui atafanyaje😅😅😅😅
Ni kweli kabisa.....

Mie hata nikikutana na mdada ana mawowowo lazma niangalie.

kuna siku napita mitaa ya kinyerezi mdada anakimbia barabarani kavaa tight ile shepu kidogo npate ajali kwa kumshangaa. Hadi nkajisemea kumbe wanaume wanapitia mengi tuwaombee wakiwa barabarani.

Sasa huyu kuangaliwa nyonyo tu eti anakasirika jamani.
 
Ni kweli kabisa.....

Mie hata nikikutana na mdada ana mawowowo lazma niangalie.

kuna siku napita mitaa ya kinyerezi mdada anakimbia barabarani kavaa tight ile shepu kidogo npate ajali kwa kumshangaa. Hadi nkajisemea kumbe wanaume wanapitia mengi tuwaombee wakiwa barabarani.

Sasa huyu kuangaliwa nyonyo tu eti anakasirika jamani.
Mi hadi rafiki zangu wananitania “lesbian”…naangalia vizuri na nasifia na kujadili juu. Hakuna cha ajabu, kama Mungu fundi sharti tuseme Mashaallah…
 
Nachukia sana karibia wanaume wote naokutana nao wana hii tabia
Bora hao wana Angalia Yule anae nyonya je?
Hivi kwanini wanaume hupenda kuangalia maziwa ya mwanamke. Hii tabia inakera sana unakuta mtu unamheshimu kama kaka au ndugu, wakati wa kuongea nae badala ya kuweka concetration katika kile mnachoongelea yeye anaanza kukodolea macho kifuani (maziwa).

Hii tabia inakera ipo siku nitakuja kumtemea mate usoni mtoto wa mtu.
 
Halafu hii tabia ya wanawake kutuona baadhi yetu kama kaka zao hukera sana, mimi sio kaka yako, sina undugu wa damu na wewe, nikipata fursa nakutafuna tu.
 
Hivi kwanini wanaume hupenda kuangalia maziwa ya mwanamke. Hii tabia inakera sana unakuta mtu unamheshimu kama kaka au ndugu, wakati wa kuongea nae badala ya kuweka concetration katika kile mnachoongelea yeye anaanza kukodolea macho kifuani (maziwa).

Hii tabia inakera ipo siku nitakuja kumtemea mate usoni mtoto wa mtu.
Hivi hebu tofautisha maziwa , matiti, chuchu na nyonyo
 
Back
Top Bottom