Kwanini wanaume wanapenda kufanya mapenzi na wanawake wengi tofauti wakati wanawake ni kinyume chake?

Kwanini wanaume wanapenda kufanya mapenzi na wanawake wengi tofauti wakati wanawake ni kinyume chake?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kwa nini wanaume wanapenda na huona furaha au ufahari kufanya ngono/mapenzi na wanawake wengi tofauti tofauti wakati wanawake wao hupendelea kuwa na mpenzi mmoja tu au wachache?

Wanawake wachache ndio huwa na michepuko isiyo ya kuchuna , wengine wengi wanaofanya mapenzi na wanaume tofauti mara nyingi ni kwa sababu ya pesa tu ila sio furaha.
 
Kuna story Moja ya Zamani Nitawasimulia Wajukuu Zangu..
Ni kwamba Kwa sisi Wazee..

"Zamani tulikuwa Tunaulizwa Lipi Kufuli Bora Lile linaloweza Kufunguliwa na Funguo Moja au lile Linaloweza Kufunguliwa Na kila aina ya Funguo..
Tulikuwa Tunajibu Lile linaloweza Kufunguliwa na Funguo moja tu..
Bhasi walikuwa Wazee wetu wanatujibu safi sana na Hivyo ndivyo Msichana/Mwanamke anapaswa kuwa..."


Pia waliendelea Kutuuliza..

"Ni funguo Gani Huonekana Bora na Inafaa Ni ile Funguo utakayofungua sehemu moja tu au Ni funguo yenye Uwezo wa Kufungua Kila Mlango na Kila kufuli na ungetamani Funguo ipi..
Tulikuwa Tunajibu Funguo Iliyofungua Kila Kufuli ni Bora zaidi kwa sbabu utarahisisha kazi na Itanipa Ujanja sana...
Basi wazee wetu walikuwa wakitujibu Safi sana Na hivyo ndivyo Mwanaume anapaswa kuwa....."


Basi mwenzako Sikujua Hayo maneno maana Yake mpaka Ulivyoandika Hapa leo 😅😅😅
 
Kwa nini wanaume wanapenda na huona furaha au ufahari kufanya ngono/mapenzi na wanawake wengi tofauti tofauti wakati wanawake wao hupendelea kuwa na mpenzi mmoja tu au wachache?

Wanawake wachache ndio huwa na michepuko isiyo ya kuchuna , wengine wengi wanaofanya mapenzi na wanaume tofauti mara nyingi ni kwa sababu ya pesa tu ila sio furaha.
Biological design ya mwanaume ni tofauti na ya mwanamke. Na hii inaenda hadi kwa wanyama
 
Kuna story Moja ya Zamani Nitawasimulia Wajukuu Zangu..
Ni kwamba Kwa sisi Wazee..

"Zamani tulikuwa Tunaulizwa Lipi Kufuli Bora Lile linaloweza Kufunguliwa na Funguo Moja au lile Linaloweza Kufunguliwa Na kila aina ya Funguo..
Tulikuwa Tunajibu Lile linaloweza Kufunguliwa na Funguo moja tu..
Bhasi walikuwa Wazee wetu wanatujibu safi sana na Hivyo ndivyo Msichana/Mwanamke anapaswa kuwa..."


Pia waliendelea Kutuuliza..

"Ni funguo Gani Huonekana Bora na Inafaa Ni ile Funguo utakayofungua sehemu moja tu au Ni funguo yenye Uwezo wa Kufungua Kila Mlango na Kila kufuli na ungetamani Funguo ipi..
Tulikuwa Tunajibu Funguo Iliyofungua Kila Kufuli ni Bora zaidi kwa sbabu utarahisisha kazi na Itanipa Ujanja sana...
Basi wazee wetu walikuwa wakitujibu Safi sana Na hivyo ndivyo Mwanaume anapaswa kuwa....."


Basi mwenzako Sikujua Hayo maneno maana Yake mpaka Ulivyoandika Hapa leo 😅😅😅
Hahaha
 
Kwa nini wanaume wanapenda na huona furaha au ufahari kufanya ngono/mapenzi na wanawake wengi tofauti tofauti wakati wanawake wao hupendelea kuwa na mpenzi mmoja tu au wachache?

Wanawake wachache ndio huwa na michepuko isiyo ya kuchuna , wengine wengi wanaofanya mapenzi na wanaume tofauti mara nyingi ni kwa sababu ya pesa tu ila sio furaha.
Kwani wewe ni me au ke, tuanzie hapo.
 
Back
Top Bottom