INJECTION TECHNICIAN
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 356
- 794
Mkuu hizo viumbe KE NI nyng mno unatakiwa kila mtu amiliki kwanzia watano ndo ratio inaeza kwenda sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna jamaa yangu nilimfuma ana note majina kwenye daftari kabisa, jina mpaka tarehe,...Nasikitika hadi leo nimejaza IST tu, wakati wenzangu wamejaza Shabiby line
Haya yalikuwa mambo ya zamani, siku hizi ngoma droo kwani hata wanawake wanafanya zaidi ya haya kwa sasa.Kwa nini wanaume wanapenda na huona furaha au ufahari kufanya ngono/mapenzi na wanawake wengi tofauti tofauti wakati wanawake wao hupendelea kuwa na mpenzi mmoja tu au wachache?
Wanawake wachache ndio huwa na michepuko isiyo ya kuchuna , wengine wengi wanaofanya mapenzi na wanaume tofauti mara nyingi ni kwa sababu ya pesa tu ila sio furaha.
Kwani jogoo unamwonaje kutwa zima hadi jioni anakuwa amepanda mitetea mingapi?
Vipi kuhusu mbwa nao, vipi wanyama wa porini huko maana wanahimaya kabisa.
Kifupi dini zimetuingilia kati utaratibu wetu wanaume hasa wa africa tulikuwa na wanawake 20 10 30 ni kawaida tu na ndio ulijali wenyewe huo..
Funguo inayofungua makufuli mengi husifiwa, kufuli linalofunguliwa na funguo nyingi hudharaulika na kutupwa, halifaiKwa nini wanaume wanapenda na huona furaha au ufahari kufanya ngono/mapenzi na wanawake wengi tofauti tofauti wakati wanawake wao hupendelea kuwa na mpenzi mmoja tu au wachache?
Wanawake wachache ndio huwa na michepuko isiyo ya kuchuna , wengine wengi wanaofanya mapenzi na wanaume tofauti mara nyingi ni kwa sababu ya pesa tu ila sio furaha.
ChaiiiKwa nini wanaume wanapenda na huona furaha au ufahari kufanya ngono/mapenzi na wanawake wengi tofauti tofauti wakati wanawake wao hupendelea kuwa na mpenzi mmoja tu au wachache?
Wanawake wachache ndio huwa na michepuko isiyo ya kuchuna , wengine wengi wanaofanya mapenzi na wanaume tofauti mara nyingi ni kwa sababu ya pesa tu ila sio furaha.
HahahaNa wale wanawake wanaofanya hiyo biashara na wanaume wa kila aina unawaweka katika kundi gani Comrade!!
Hayo mambo hayajawahi kubagua jinsia!!