Kwanini wanaume wanapenda kufanya mapenzi na wanawake wengi tofauti wakati wanawake ni kinyume chake?

Kwanini wanaume wanapenda kufanya mapenzi na wanawake wengi tofauti wakati wanawake ni kinyume chake?

Kwa nini wanaume wanapenda na huona furaha au ufahari kufanya ngono/mapenzi na wanawake wengi tofauti tofauti wakati wanawake wao hupendelea kuwa na mpenzi mmoja tu au wachache?

Wanawake wachache ndio huwa na michepuko isiyo ya kuchuna , wengine wengi wanaofanya mapenzi na wanaume tofauti mara nyingi ni kwa sababu ya pesa tu ila sio furaha.
Jibu lako nijepesi mno, chukulia mfano mwanaume mmoja akitembea na wanawake kumi tofauti apo nani Malaya, uyo mmoja au hao kumi?
 
Hata wafugaji hufuga majike kumi kwa dume moja,ndivyo ilivyo hata kwetu kwa sababu kila sampuli ya mwanamke ina mvuto na ladha yake!
Kwa nini wanawake hawavutiki na sampuli mbalimbali za wanaume?
 
Kwenye mada yangu wapi nimeongelea ushoga??

Kumbe umekwishayasahau majibu yako haya?

IMG_20241029_192913.jpg
 
Jongoo mmoja ana uwezo wa kuhudumia majike 15 hadi 20. Na zagamba mmoja ana uwezo wakuhudumia majike 20 hadi 25 kikubwa ale vizur tu. Akili kumkichwa wewe mama.
 
Jongoo mmoja ana uwezo wa kuhudumia majike 15 hadi 20. Na zagamba mmoja ana uwezo wakuhudumia majike 20 hadi 25 kikubwa ale vizur tu. Akili kumkichwa wewe mama.
Kibaiolojia mwanamke ndiye anaweza kufanya mapenzi na watu wengi kwa siku kuliko mwanaume hata akiwa na njaa.
 
Kwa nini wanaume wanapenda na huona furaha au ufahari kufanya ngono/mapenzi na wanawake wengi tofauti tofauti wakati wanawake wao hupendelea kuwa na mpenzi mmoja tu au wachache?

Wanawake wachache ndio huwa na michepuko isiyo ya kuchuna , wengine wengi wanaofanya mapenzi na wanaume tofauti mara nyingi ni kwa sababu ya pesa tu ila sio furaha.
Kwani jogoo unamwonaje kutwa zima hadi jioni anakuwa amepanda mitetea mingapi?

Vipi kuhusu mbwa nao, vipi wanyama wa porini huko maana wanahimaya kabisa.

Kifupi dini zimetuingilia kati utaratibu wetu wanaume hasa wa africa tulikuwa na wanawake 20 10 30 ni kawaida tu na ndio ulijali wenyewe huo..
 
Back
Top Bottom