Jibu lako nijepesi mno, chukulia mfano mwanaume mmoja akitembea na wanawake kumi tofauti apo nani Malaya, uyo mmoja au hao kumi?Kwa nini wanaume wanapenda na huona furaha au ufahari kufanya ngono/mapenzi na wanawake wengi tofauti tofauti wakati wanawake wao hupendelea kuwa na mpenzi mmoja tu au wachache?
Wanawake wachache ndio huwa na michepuko isiyo ya kuchuna , wengine wengi wanaofanya mapenzi na wanaume tofauti mara nyingi ni kwa sababu ya pesa tu ila sio furaha.
Kwani wewe ni me au ke, tuanzie hapo.
Ndo kosa unalofanya kumbe, unawauliza!waulize.
Utauponza atyNasikitika hadi leo nimejaza IST tu, wakati wenzangu wamejaza Shabiby line
huenda wanatamani ila hawakupewa uthubutu nionavyo mimi,but kwetu kina ngosha mambo ni bam bamKwa nini wanawake hawavutiki na sampuli mbalimbali za wanaume?
Hatuna kabisa mkuu,yaan kabisaWanawake hawana tamaa ya kufanya mapenzi na wanaume wengi mbalimbali, waulize.
Hivi nyie hamuwezi kuwaza kitu tofauti LGBTQ na ushoga??! Boring.
Kwenye mada yangu wapi nimeongelea ushoga??
Kibaiolojia mwanamke ndiye anaweza kufanya mapenzi na watu wengi kwa siku kuliko mwanaume hata akiwa na njaa.Jongoo mmoja ana uwezo wa kuhudumia majike 15 hadi 20. Na zagamba mmoja ana uwezo wakuhudumia majike 20 hadi 25 kikubwa ale vizur tu. Akili kumkichwa wewe mama.
Kwani jogoo unamwonaje kutwa zima hadi jioni anakuwa amepanda mitetea mingapi?Kwa nini wanaume wanapenda na huona furaha au ufahari kufanya ngono/mapenzi na wanawake wengi tofauti tofauti wakati wanawake wao hupendelea kuwa na mpenzi mmoja tu au wachache?
Wanawake wachache ndio huwa na michepuko isiyo ya kuchuna , wengine wengi wanaofanya mapenzi na wanaume tofauti mara nyingi ni kwa sababu ya pesa tu ila sio furaha.