JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Unlike poles attract,like poles repel,Habari wadau..!
Naomba leo tujadiri hoja hapo juu kuhusu hawa wajamaa wapoleeee harafu Mungu anawakutanisha na magubegube kwa nini ??
Hahhahahahah[emoji23]Hata mimi niliwaza sababu ni udomo zege wa Hao wakuitwa wapole.
Kumbe ni kweli ume prove hapa.
Kwamba unaona umepata zali![emoji23][emoji23][emoji23]Ukweli 100%.
Hadi unaanza kuamini Mungu yupo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hamna yaani wao ndio wamepata zaliKwamba unaona umepata zali![emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
Jasiri aachi asili😁wadangaji wastaafu wana shida gani bwana?
Si wamestaafu bwana.
kweli ila wanatia huruma maana hawana say,ila wanafaidi sana maana wanapata vitu vyenye viwango vya fifa sio vya mchangaji😂😂Siku zote gari mbovu(mpole) huvutwa na nzima(mjanja) mkuu, sasa wote wakiwa wapole humo ndani hamna hata amsha amsha 😏 inabidi umpate mjanja akuchangamshe changamshe
Ushaidi si wewe na yule nanii..Leta ushahidi
[emoji23][emoji23][emoji23],Weee Mke wangu ametulia sana,yuko Bomba najivunia kuwa naye.Ushaidi si wewe na yule nanii..
Unapiga chini tuKama hana kalio je?
HahahahaMbona hueleweki? Unapenda nyonyo au kalio?
Uoga wako tu.Jasiri aachi asili😁
Nyonyo zuri asee[emoji23] mi nalipenda....Ingawa pia Kalio zuri linavutia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona hueleweki? Unapenda nyonyo au kalio?
Upo sahihi.Weng n madomo zege kwahiyo huwa wanaangalia sehem zinazo tick kirahis
Anachanganya mafile tu mpwaHahahaha
Nawe hueleweki...Nyonyo zuri asee[emoji23] mi nalipenda....Ingawa pia Kalio zuri linavutia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
Basi tubakie kwa kalio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Kalio lina raha yake kuliangalia,kulishika,kulibinya[emoji23][emoji23][emoji23]Nawe hueleweki...
Mpwa upo ?Anachanganya mafile tu mpwa
HahahahaNawe hueleweki...