Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #441
hajaenda jando?Mi mume wangu ni mmasai og so hakawekwa jando kama wenu akikupa lamba lamba unaipata pata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hajaenda jando?Mi mume wangu ni mmasai og so hakawekwa jando kama wenu akikupa lamba lamba unaipata pata
ukute hata pumzi ya kumpanda dada wa watu huna
Ivan Stepanov hivi ww sio mmasai kaka 😂😂😂😂😂Mi mume wangu ni mmasai og so hakawekwa jando kama wenu akikupa lamba lamba unaipata pata
sina bandoMfundishe apa apa izo ushapest
Kuna epukika why mkiandaana nakupeana time yakutosha yakuandaana . Ujue jambo mtu akijifungua sio unamwacha mwenzako ikae vile unatakiwa umpake mafuta fulani kwa huo muda ambao ni bado hajatoka uwe unamkanda na tunda fulani unaweka maji ya moto unamkanda sehemu zile kila wakati halafu nakumpaka hayo mafuta wenye kurudisha uke wake katika hali yake . Halafu akipona akazoea umama 6 month to 5 mnaaza kwa kumpa mazoezi ya hapa napale pia kuna aina nyingi ya yeye apone haraka basi maisha ndio hayo.
Nilikuwa naunga mkono hoja ya Holly Star; na mzabzab 😁. Nilisahau kwamba huu ni uzi wako! 🚶🏿♂️🚶🏿♂️🚶🏿♂️🖐ukute hata pumzi ya kumpanda dada wa watu huna
unahema kama bata
poleNilikuwa naunga mkono hoja ya Holly Star; na mzabzab 😁. Nilisahau kwamba huu ni uzi wako! 🚶🏿♂️🚶🏿♂️🚶🏿♂️🖐
Kusema kweli mpendwa hata sijui unaongelea nini. Ulioukwoti ni msemo tu wa vijana wa kijiweni na siyo big deal.Kuna epukika why mkiandaana nakupeana time yakutosha yakuandaana . Ujue jambo mtu akijifungua sio unamwacha mwenzako ikae vile unatakiwa umpake mafuta fulani kwa huo muda ambao ni bado hajatoka uwe unamkanda na tunda fulani unaweka maji ya moto unamkanda sehemu zile kila wakati halafu nakumpaka hayo mafuta wenye kurudisha uke wake katika hali yake . Halafu akipona akazoea umama 6 month to 5 mnaaza kwa kumpa mazoezi ya hapa napale pia kuna aina nyingi ya yeye apone haraka basi maisha ndio hayo.
Anachangamka halafu unapewa chakupewa . Sio lazima uende njee. Ila kama umezoea uzinifu basi utazini tu hata ukiyafanya hayo.
No any info from you, haionyeshi nduguangalia inbox
tumia browser ingine kama chrome kufungua otherwise huwezi angalia kwa hii platformNo any info from you, haionyeshi ndugu
Sana sana mzabzabukute hata pumzi ya kumpanda dada wa watu huna
unahema kama bata
🤣🤣🙌Taifa la jf 🤣🤣🤣🤣
Njoo pm nna ujumbe wako
mimi ni mmsai og..huoni nachanganya mafaili, toka kule mpaka hukuIvan Stepanov hivi ww sio mmasai kaka 😂😂😂😂😂
pole
ila pumzi unayo?
mshamba_hachekwi Rabbitus Mrs Besyige Tayana-wog Ivan Stepanov mje mpate darasa 🤣🤣🤣🤣🤣Kuna epukika why mkiandaana nakupeana time yakutosha yakuandaana . Ujue jambo mtu akijifungua sio unamwacha mwenzako ikae vile unatakiwa umpake mafuta fulani kwa huo muda ambao ni bado hajatoka uwe unamkanda na tunda fulani unaweka maji ya moto unamkanda sehemu zile kila wakati halafu nakumpaka hayo mafuta wenye kurudisha uke wake katika hali yake . Halafu akipona akazoea umama 6 month to 5 mnaaza kwa kumpa mazoezi ya hapa napale pia kuna aina nyingi ya yeye apone haraka basi maisha ndio hayo.
Anachangamka halafu unapewa chakupewa . Sio lazima uende njee. Ila kama umezoea uzinifu basi utazini tu hata ukiyafanya hayo.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌mimi ni mmsai og..huoni nachanganya mafaili, toka kule mpaka huku
Eh kwani mie mgeni sisomi post ?? Watu hujiunga baada ya kuvutiwa kitu sio kablaDa candy unamjua mpk mzabzab?? 🤣🤣🤣
Muandiko umefanana na wa unique flower