Bado hajampata na hili nitalisimamia mwenyewe mulasil hampati tayana nakwambia ππππAmpate mara ngap?
Unaniangushaa unaniangushaa, hakuna urafiki wa hivyo. Ukiona urafiki jua mmeshindana sehemu lakini bado anaendelea kujipangaMakubwa [emoji28]
Jmn ni rfk angu Omu
Ona utofauti, mm napenda waungane. We unataka watenganeBado hajampata na hili nitalisimamia mwenyewe mulasil hampati tayana nakwambia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo huyo si wizzy kamjaza ili anikomoe ππππππ€£π€£
Omu huyuhuyu
Kumekucha
Na atakukomoa sana, acha watu wapendaneHuyo huyo si wizzy kamjaza ili anikomoe [emoji23][emoji23][emoji23]
Ingekuwa hivyo basi wachungaji wasingesisitiza fungu la kumiβ¦β¦.! Ww unataka kumponza tayana akateseke, na mimi siko tyr kuliona ilo linatokea.!!Hiyo mifano yako haifanyi kazi kwenye mapenzi ya kweli. Hiyo inafanya kazi kwa wale macho kuona
Mama mchungaji ni mtu wa Mungu
Huyo mulasil na kantry watakuponza ujue??
Tayana hatateseka kamwe, Nina uhakika mulasil atampambania usiku na mchanaIngekuwa hivyo basi wachungaji wasingesisitiza fungu la kumiβ¦β¦.! Ww unataka kumponza tayana akateseke, na mimi siko tyr kuliona ilo linatokea.!!
Bwana kantry hii ndoa haipo, tafuteni kazi ya kufanya na mwenzio mulasil [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kila la heri Tayana, usisahau kumuombea[emoji120]Haya ngoja niingie semina ss, tumalize Leo!
Vigezo na masharti kuzingatiwa, huyo mulasil bado hajakidhi vigezo vya kummiliki tayana πOna utofauti, mm napenda waungane. We unataka watengane
Aanze kujipambania mwenyewe kwanza πππTayana hatateseka kamwe, Nina uhakika mulasil atampambania usiku na mchana
Vigezo ni mapenzi ya kweli, na ameshavuka hiko kigezo. Pesa inatafutwaVigezo na masharti kuzingatiwa, huyo mulasil bado hajakidhi vigezo vya kummiliki tayana [emoji23]
πππππ mxiewwww Kantry ntakupasua ujue. Afanyeje??Kila la heri Tayana, usisahau kumuombea[emoji120]
Hiyo ilikuwa enzi za mwalimu πππVigezo ni mapenzi ya kweli, na ameshavuka hiko kigezo. Pesa inatafutwa
Weka akilini mulasil hakufai, na huo muda utumie kumuomba Mungu akuondolee mulasil hana nia nzuri na ww πHaya ngoja niingie semina ss, tumalize Leo!
Habari ndio hiyo πIla lamomy ,eti falme zote zilikuwa inara sbb ya uchumiπ€£π€£
Nimecheka Leo Mimi jmnπ
Mapenzi ya kweli bila pesa? Hizo ni kelele tupu π€£Usivuruge mapenzi ya kweli, hiyo ni dhambi.
Angalau wenye vibamia tumepata mtetezi. So ishu ni kufeel hisia za kweli na sio mambo ya ufundi wa centre boltπ€£π€£π€£π€£Tatizo hapa ni mapenzi na sio tendo.
Kama kweli wawili mnapenda na kila mmoja anamfily mwenzake basi swala la kishindo sio swala la kiufundi bali ni swala la hisia.
Tatizo ni kwamba watu wanaishi pamoja au niseme ndoa kutokana na vigezo vya elimu, mali, umaarufu nk.
Ila kama watu waliamua kuishi pamoja sababu ya mapenzi toka ndani ya mioyo yao basi hilo swala la kileleni sio agenda kwao
We jishangae nakufukuza nakwambia πKhaaaaπ π π