Kwanini wanaume wengi hawajui kufikisha wanawake zao kileleni?

Kwanini wanaume wengi hawajui kufikisha wanawake zao kileleni?

Hili swala inatakiwa lijadiliwe Bungeni tena na Mama akiwepo ili tujue tunafanya nn! Mm km mm sku hat km huwa wanafka huko kunakoitwa kileleni kwa sababu nying tu, Kuna sometimes unakuwa hauna mzuka na huyo manzi ,wengne ni lazy ktandana ,ila Kuna bibie ang huyo weeh yn yule huwa nahs ndio anafkaga kilelen Akiwa na mm kuna muda had anataman akumeze wakat mpo kwenye harakat hpo ulingoni.
 
Nimeona sehemu jana unatupa taulo ulingoni, kantri akajitolea kuwa refa eti unaogopa ban kwani unakwama wapi kuchukua maujanja kwa ua aka pipi nawe uwe na fekero zako?
Wee mi fekero siliwezi fasta ntajulikana, halafu mbona id yangu hii nawakanda watu..!!
Humu kuna malayerrr mmoja hivi nilimpotezea coz nilikuwa nafatilia ile id yangu ya cute! Na alivyokuwa anajitongozesha kwa kuisema id yangu kuunganishwa nikasema huyu ashukuru niko tunajadili na mods khs id.
Ila ss hivi namtamani ajichanganye nimnyooshe hafu hajai 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wee mi fekero siliwezi fasta ntajulikana, halafu mbona id yangu hii nawakanda watu..!!
Humu kuna malayerrr mmoja hivi nilimpotezea coz nilikuwa nafatilia ile id yangu ya cute! Na alivyokuwa anajitongozesha kwa kuisema id yangu kuunganishwa nikasema huyu ashukuru niko tunajadili na mods khs id.
Ila ss hivi namtamani ajichanganye nimnyooshe hafu hajai 🤣🤣🤣🤣🤣
Nicheki tumalize bisinenga fasta.
 
Narudia
Wanawake wapo kwenye ndoa zaidi ya Miaka 30 hawana malalamiko
Sehemu zao za siri zimetumika zaidi ya Miaka 30 na bado wanafikishwa
Vijana mna shida gani??
Au ndio chips mnazokula??
Tatizo hapa ni mapenzi na sio tendo.
Kama kweli wawili mnapenda na kila mmoja anamfily mwenzake basi swala la kishindo sio swala la kiufundi bali ni swala la hisia.

Tatizo ni kwamba watu wanaishi pamoja au niseme ndoa kutokana na vigezo vya elimu, mali, umaarufu nk.
Ila kama watu waliamua kuishi pamoja sababu ya mapenzi toka ndani ya mioyo yao basi hilo swala la kileleni sio agenda kwao
 
Back
Top Bottom