Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Mwambie huyo 🤣🤣🤣Mie namsikiliza dada angu anachosema ,Sina maamuzi 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie huyo 🤣🤣🤣Mie namsikiliza dada angu anachosema ,Sina maamuzi 🤣
Uwe na stationary akupe tyuuu computer mdogo angu 🤣🤣🤣🤣
Thubutuuuu!! 🤣🤣🤣🤣Dawa yake si uliniambia? Nampiga na dollar kichwani😂
Mambo yasiwe mengi🤣Uwe na stationary akupe tyuuu computer mdogo angu 🤣🤣🤣🤣
Aache mgodi asubiri photocopy ?! Staki. Kwahiyo awe karibu na chuo? Staki wamzushie connectionUwe na stationary akupe tyuuu computer mdogo angu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Weee . Uchawi wa mtu mweupe huo. Sijui akutulize nayo mdogo wako halafu anakuaga anakuja[emoji3]Thubutuuuu!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uchawi wa mtu mweupe🤣🤣🤣Weee . Uchawi wa mtu mweupe huo. Sijui akutulize nayo mdogo wako halafu anakuaga anakuja[emoji3]
Kwahiyo Shem una mgodi?? 🤣🤣🤣Aache mgodi asubiri photocopy ?! Staki. Kwahiyo awe karibu na chuo? Staki wamzushie connection
Hela tu. Da yako atatulia.Uchawi wa mtu mweupe🤣🤣🤣
Kikao cha mwisho cha familia kimekata jina lako ndugu mulasil 🤣🤣🤣🤣Weee . Uchawi wa mtu mweupe huo. Sijui akutulize nayo mdogo wako halafu anakuaga anakuja[emoji3]
Wee lazima uwepo serkali inaponikabidhi leseni ya miaka 100 mafoto sana siku hiyoKwahiyo Shem una mgodi?? 🤣🤣🤣
Safi sana bro, mm nimewakubali sana na nimekubali namna umepambania penzi lako. Much respect bro💪Tuache tupumzike. Au nipige picha tumepishanisha miguu wenyewe?. Beibe T. Ndio tunaitana sasa hivi😁😀
Tayana ni wa mulasil, napenda sana couple yaoMulasil niache 😂😂😂
Etiiiii mnaitanaje.?? Babe Tee ya nyokwe.!!
Tayana-wog umeniuza kungwi wako??
Ujue utakosa wanaume wa maana ww??😂😂😂
Nimekataa hilo halitowezekana 😂😂Tayana ni wa mulasil, napenda sana couple yao
Pesa zinatafutwa, wala sio shida. Shida ni mapenzi ya kweli, mulasil ana mapenzi ya kweli kwako. Kuna siku utakumbuka maneno yanguDawa nitafutie mwenye pesa zaidi kumshinda omu,🤣
Hautaweza. Badala kusema utaliunganisha, ww unasema utalivunja. HautafanikiwaMfyuuuuu!! 🤣🤣🤣🤣
Yani nyie nawahakikishia hili penzi lenu nalivunja vipande vipande
Khaaaa jmn🤣Pesa zinatafutwa, wala sio shida. Shida ni mapenzi ya kweli, mulasil ana mapenzi ya kweli kwako. Kuna siku utakumbuka maneno yangu