Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Ww msikilize Shem wako nakwambia anakuponza huyo 😂😂😂🤣🤣Shem km Shem
Hataki ujinga
Sitaki mwezi unaanza kurudi nyumbani umechoka kula maharage, shauri yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww msikilize Shem wako nakwambia anakuponza huyo 😂😂😂🤣🤣Shem km Shem
Hataki ujinga
Nakufukuza kwanini usimkatae ss hivi bado mapema?? 😂😂😂Nikiteseka SI narudi nyumbani
Kwani utanifukuza?,🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 humpati tunamtoroshaWee lazima uwepo serkali inaponikabidhi leseni ya miaka 100 mafoto sana siku hiyo
Kanichamba mpk nimemsusia uzi 🤣🤣🤣🤣Halafu huwezi amini niliona comment 1 tu ,sikuekewa imeanzia wapi🤣
Ulimwambia meanza kunywa nn sijui
Tv flat screen zinatafutwa pia, wala hiyo sio issueTatizo bwana harusi anamiliki tv ya chogo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tayana, kaa hapo tulia rafiki[emoji1787][emoji1787][emoji119] Kumekucha
Huu ni ukweli, niamini inawezekana kila mmoja akawa nuru ya mwenzie. Pesa isikutishe, komaa na penzi la kweli.[emoji849][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Halooooo
Kwako Lamomy
Hakuna kuteseka, maisha yana up and downs nyingi tu.Hapo umefurahi!! Tayana shem wake anakuchuza utaenda kuteseka nakwambia [emoji23][emoji23][emoji23]
Mulasil uwezo wa kutafuta pesa na kupata anao[emoji1787][emoji1787]Shem km Shem
Hataki ujinga
Sio nimemuharibu, mulasil ana mapenzi ya kweli kwa tayana Ila ww ndio unataka kumuwekea ukuta.Ujue ww ndo umemuharibu mulasil mpk kanichamba juzi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usikubali kuyumbishwaKwa sbb ye ndo winga, connector [emoji1787][emoji1787]
Tutaona mama mchungaji kati ya pesa na penzi la kweli anachagua nnMulasil hana pesa za kumtunza mdogo angu simtaki na ww mshenga wake posa yenu tumeikataa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tayana usikubali mtu akiyumbishe, umependwaa pendekaUjue mnani confuse[emoji1787][emoji1787]
Amkatae ili iweje? Huyo ni mtumisi wa Mungu, hujui kaonyeshwa nn kwa MulasilNakufukuza kwanini usimkatae ss hivi bado mapema?? [emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂 Nasemaje mulasil hampati tayana, subiri na uoneSio nimemuharibu, mulasil ana mapenzi ya kweli kwa tayana Ila ww ndio unataka kumuwekea ukuta.
Ampate mara ngap?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nasemaje mulasil hampati tayana, subiri na uone
Pesa hata falme zote zilikuwa imara kutokana na uchumi wao. 😂Tutaona mama mchungaji kati ya pesa na penzi la kweli anachagua nn
🤣🤣🤣🤣Ww msikilize Shem wako nakwambia anakuponza huyo 😂😂😂
Sitaki mwezi unaanza kurudi nyumbani umechoka kula maharage, shauri yako
Khaaaa😅😅😅Nakufukuza kwanini usimkatae ss hivi bado mapema?? 😂😂😂