Kwanini wanaume wengi wa Afrika/blacks wanavutiwa zaidi na wanawake wenye makalio makubwa sana?

Kwanini wanaume wengi wa Afrika/blacks wanavutiwa zaidi na wanawake wenye makalio makubwa sana?

Hata mke wangu ni hivyo hivyo. Haiwezi kupita siku hajanitumia picha ya mizigo anayokutananayo huko kitaa. Halafu akija jioni tunalinganisha na la kwake. Mama E yaani dah!
i love vile umejikuta unammiss !
Its great wapenzi mkijuana strength and weaknesses
 
Kwa nini wanaume Waafrika/blacks wanapenda/kuvutiwa au kupagawa na wanawake wenye makalio makubwa sana tofauti na wanaume wa kizungu na sehemu kubwa ya Asia kama China, Japan, Korea n.k ambao huvutiwa zaidi na wanawake wenye makalio madogo?
Ni kwa sababu ya historia ya njaa.

Mwanamke aliyetunza chakula anakuwaga na shepu.

Ni ushahidi tosha kwamba ataweza kuendelea kunyonyesha hata kama baa la njaa litatokea ghafla! Of coz wanaume huyapenda bila kujua chanzo.

Maeneo yasiyokuwa na njaa wanakuwa wanapenda wembamba, mfano hao wazungu.

Lakini kwa wote wanaume hupendelea mwanamke mwenye nyonga pana, maana ataweza kuwazaa watoto kirahisi. Na ushahidi wake ndio hilo kalio bablai🤫
 
Pamela Alexander naona anazeeka na utamu wake 🔥🔥🔥
93e4e61c962b5cb8a9ac79626b2f242e.jpg
 
Mwanaume wangu anapenda nyama mpk huwa tukiwa kwenye foleni namuonesha barabarani!
Popote alipo/nilipo likipita zigo ah lazima tupeane habari
Siku nyingine namtumia na picha kabisa za kimgongo mgongo(siku nishikwe sijui ntasemaje,mxxxxiie)

We bana curvy ladies are blessed nyie!
🤣
Noma sana
 
Back
Top Bottom