Kwanini wanaume wengi wa Afrika/blacks wanavutiwa zaidi na wanawake wenye makalio makubwa sana?

Kwanini wanaume wengi wa Afrika/blacks wanavutiwa zaidi na wanawake wenye makalio makubwa sana?

Hata mke wangu ni hivyo hivyo. Haiwezi kupita siku hajanitumia picha ya zigo. Halafu akija jioni tunalinganisha na la kwake. Mama E yaani dah!
Yani raha ile kabisa yani.
Tunaanza kujadili , sasa ubaya ni muda uwe sio wa kuongeleza zigo mtu aanze kulizungumzia.
AHAHAHAAA shift ya fun to jealousy huwa sijui inabadilika dk ya ngapi.

Sasa naacha kumletea sasa, nimejikuta kabisa katia story najua zinatupa furaha ni wanawake wenye mizigo yao!
 
kama kwenye utam ni mbele kwann muyahusishe makalio
Ile kuyaangalia tu Ni aphrodisiac tosha, especially kama ana shanga (yaani hapa tu nomefikiria shanga tayari abdala anatetemeka)
Hata mbele za watu ukiwa unaongozana na mwanamke mwenye tackle unakua na confidence.
Sasa imagine uko na king'walu flat screen super market, huwezi kumwambia atangulie na kile kitoroli wewe ufuate nyuma. BIG NO. Utamsubiri anunue akukute nje.
Usimlaumu MTU akimnunulia mwanamke mwenye tackle viwanja au gari.
 
Kwa nini wanaume Waafrika/blacks wanapenda/kuvutiwa au kupagawa na wanawake wenye makalio makubwa sana tofauti na wanaume wa kizungu na sehemu kubwa ya Asia kama China, Japan, Korea n.k ambao huvutiwa zaidi na wanawake wenye makalio madogo?
Ndio utamaduni wa Mwafrika huo, wanaume wa kiafrika tunatunza utamaduni wetu, na hiyo shape inaitwa Bantu shape, sasa unataka inglishi figa kwani sisi wainglishi
 
Kwa nini wanaume Waafrika/blacks wanapenda/kuvutiwa au kupagawa na wanawake wenye makalio makubwa sana tofauti na wanaume wa kizungu na sehemu kubwa ya Asia kama China, Japan, Korea n.k ambao huvutiwa zaidi na wanawake wenye makalio madogo?
Daaah aiseee
 
Kwa nini wanaume Waafrika/blacks wanapenda/kuvutiwa au kupagawa na wanawake wenye makalio makubwa sana tofauti na wanaume wa kizungu na sehemu kubwa ya Asia kama China, Japan, Korea n.k ambao huvutiwa zaidi na wanawake wenye makalio madogo?
Weka picha tuone kalio linakuwaje😁
 
Kama yule juu pale aliyeshika iPhone au 😂😂
😂😂😂 sio kama yule sasa mkuu.

Nachoongelea hapa ni zile tako kama za poshyqueen, mabonge kama shishi.
Pisi iwe na mwili kama zuchu, mbiringe kwa bed inakua babkubwa kila style yumo, binafsi huwa nakua happy kua na mtu kama yule, flexible.
 
Kwa nini wanaume Waafrika/blacks wanapenda/kuvutiwa au kupagawa na wanawake wenye makalio makubwa sana tofauti na wanaume wa kizungu na sehemu kubwa ya Asia kama China, Japan, Korea n.k ambao huvutiwa zaidi na wanawake wenye makalio madogo?
Ungejiuliza huwa wanayafanyia nini ili wachangiaji wasizunguke sana.
 
Back
Top Bottom