Kwanini wanaume wengi wa Afrika/blacks wanavutiwa zaidi na wanawake wenye makalio makubwa sana?

Kwanini wanaume wengi wa Afrika/blacks wanavutiwa zaidi na wanawake wenye makalio makubwa sana?

Nimecheka sana aisee
Screenshot_20240904_161437_Chrome.jpg


Mimi sipendi 'makalio makubwa sana' likijaa mkononi inatosha.
 
Mwanaume wangu anapenda nyama mpk huwa tukiwa kwenye foleni namuonesha barabarani!
Popote alipo/nilipo likipita zigo ah lazima tupeane habari
Siku nyingine namtumia na picha kabisa za kimgongo mgongo(siku nishikwe sijui ntasemaje,mxxxxiie)

We bana curvy ladies are blessed nyie!
 
Mwanaume wangu anapenda nyama mpk huwa tukiwa kwenye foleni namuonesha barabarani!
Popote alipo/nilipo likipita zigo ah lazima tupeane habari
Siku nyingine namtumia na picha kabisa za kimgongo mgongo(siku nishikwe sijui ntasemaje,mxxxxiie)

We bana curvy ladies are blessed nyie!
Hata mke wangu ni hivyo hivyo. Haiwezi kupita siku hajanitumia picha ya mizigo anayokutananayo huko kitaa. Halafu akija jioni tunalinganisha na la kwake. Mama E yaani dah!
 
Back
Top Bottom