Kwanini wanaume wengi wa Afrika/blacks wanavutiwa zaidi na wanawake wenye makalio makubwa sana?

Kwanini wanaume wengi wa Afrika/blacks wanavutiwa zaidi na wanawake wenye makalio makubwa sana?

Kwa nini wanaume Waafrika/blacks wanapenda/kuvutiwa au kupagawa na wanawake wenye makalio makubwa sana tofauti na wanaume wa kizungu na sehemu kubwa ya Asia kama China, Japan, Korea n.k ambao huvutiwa zaidi na wanawake wenye makalio madogo?
Kalio ndio kila kitu, inaitwa mboga kwa watu wa Arusha
 
Maswali mengine bana..... sasa wazungu na watu wa Asia wapende nyamanyama watazitoa wapi?
Kila mtu anapenda kilichopo, asilimia kubwa ya African women are curved, and a curved woman in right proportions anavutiaaaaaa.

Hii comment haihusishi curve za mloganzira na uturuki
 
Kwa nini wanaume Waafrika/blacks wanapenda/kuvutiwa au kupagawa na wanawake wenye makalio makubwa sana tofauti na wanaume wa kizungu na sehemu kubwa ya Asia kama China, Japan, Korea n.k ambao huvutiwa zaidi na wanawake wenye makalio madogo?
Sababu waliisha aminishwa na wahenga kuwa uchumi wameukalia. Ndio maana wakiona makalio makubwa moyo unadunda ziada
 
Kwa nini wanaume Waafrika/blacks wanapenda/kuvutiwa au kupagawa na wanawake wenye makalio makubwa sana tofauti na wanaume wa kizungu na sehemu kubwa ya Asia kama China, Japan, Korea n.k ambao huvutiwa zaidi na wanawake wenye makalio madogo?
Nature
 
Haah sio wote bhana mm napenda wembamba yaani unapiga staili zote mnakesha kunako 6×6
 
Back
Top Bottom