kimara Kimara
Member
- Jul 7, 2024
- 80
- 173
Moja kwa moja kwenye mada, kwanini wanaume wengi baada ya kuingia kwenye ndoa tu haipiti muda wanaanza kuota vitambi. Yani kumjua mwanaume kama ameoa ni rahisi sana asilimia kubwa wanakua na vitambi.
kwanini inakua hivi, kifanyike nini ili wawe kawaida kama wale ma bachela KATAA NDOA 🙂
.......
kwanini inakua hivi, kifanyike nini ili wawe kawaida kama wale ma bachela KATAA NDOA 🙂
.......