kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Ila kuna wanaokondeana kama mfupa wa samaki. Baadhi ya wanaopata vitambi ni matunzo mazuri ya wake zao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakula mara 2 kabisa kama sio mara 3 [emoji23][emoji23]Kwasababu ukioa unaanza kulazimishwa kula hata kama hauna njaa ukisema umeshiba unaambiwa umeshakula kwa wanawake zako
Duuu Mimi sikubali kuvalishwa Aina za Nguo ambazo siyo chaguo languIko hivi,Mwanamke kabla hamjaoana,anakupenda kwa ule muonekano wako,umbo lako zuri,uvaaji wako mzuri,pato lako n.k
Mkishaoana,mambo huwa kinyume.Atajitahidi uwe na muonekano wa ki father zaidi,ili usivutie wanawake na vibinti vingine.Atakomaa ule vyakula vyenye mafuta na wanga mwingi,ili unenepe,uwe bonge na kitambi,upoteze mvuto kabisa.
Hata nguo atajitahidi uache kuvaa cardets na jeans,atakushonea mashati ya vitenge na suruali za vitambaa zenye upana kama za Kim jong Un,ilimradi upoteze mvuto na usiwavutie wanawake wengine,uwe wake peke yake.
Moja kwa moja kwenye mada, kwanini wanaume wengi baada ya kuingia kwenye ndoa tu haipiti muda wanaanza kuota vitambi. Yani kumjua mwanaume kama ameoa ni rahisi sana asilimia kubwa wanakua na vitambi.
kwanini inakua hivi, kifanyike nini ili wawe kawaida kama wale ma bachela KATAA NDOA 🙂
.......
Prof atakuwa na furaha tele akisoma hapaNina miaka 15 kwnye ndoa na sijawahi kuwa na kitambi dah😀😀🙁🙁🙁 masikitiko!!
🙆🏽♂️🙆🏽♂️🙆🏽♂️Kumbe et!Iko hivi,Mwanamke kabla hamjaoana,anakupenda kwa ule muonekano wako,umbo lako zuri,uvaaji wako mzuri,pato lako n.k
Mkishaoana,mambo huwa kinyume.Atajitahidi uwe na muonekano wa ki father zaidi,ili usivutie wanawake na vibinti vingine.Atakomaa ule vyakula vyenye mafuta na wanga mwingi,ili unenepe,uwe bonge na kitambi,upoteze mvuto kabisa.
Hata nguo atajitahidi uache kuvaa cardets na jeans,atakushonea mashati ya vitenge na suruali za vitambaa zenye upana kama za Kim jong Un,ilimradi upoteze mvuto na usiwavutie wanawake wengine,uwe wake peke yake.
Mbali ya kukimbia kelele, mume akishinda nyumbani anaweza kupewa jukumu la kutenga sufuria jikoni.Inategemea, Kuna ambao ni ongezeko la bia baada ya kushinda bar akikimbia kelele.
Ndoa tamuu..sana yaani usiku unageuziwa traaako hilooo...!Moja kwa moja kwenye mada, kwanini wanaume wengi baada ya kuingia kwenye ndoa tu haipiti muda wanaanza kuota vitambi. Yani kumjua mwanaume kama ameoa ni rahisi sana asilimia kubwa wanakua na vitambi.
kwanini inakua hivi, kifanyike nini ili wawe kawaida kama wale ma bachela KATAA NDOA 🙂
.......
😂Jaman kwann chura!Ni kweli,mimi baada ya kutoka home na kuwa na kwangu,tulikuwa tunakula mpaka naona sio poa
Afu sijui wanawake wapoje kwenye kula ni kama anakutegea unajikuta umekula chakula kingi,akipakua ukimwambia punguza hatak analazimisha ule hicho hicho alichopakuwa
Kuna wakat nikiwa nipo asubuh nilikuwa namgomea sinywi chai,maana nikishinda nyumban nakuwa kama chura tumbo ndii
Hahaha, Hatari sana.Mbali ya kukimbia kelele, mume akishinda nyumbani anaweza kupewa jukumu la kutenga sufuria jikoni.