kimara Kimara
Member
- Jul 7, 2024
- 80
- 173
Wengine wana konda wengine wanakufa mapema wengine wanachanganyikiwa, wewe kama umepata kitambi mshukuru Mungu.Moja kwa moja kwenye mada, kwanini wanaume wengi baada ya kuingia kwenye ndoa tu haipiti muda wanaanza kuota vitambi. Yani kumjua mwanaume kama ameoa ni rahisi sana asilimia kubwa wanakua na vitambi.
kwanini inakua hivi, kifanyike nini ili wawe kawaida kama wale ma bachela KATAA NDOA 🙂
.......
Hahah kweli ndugu, Asilimia kubwa saana lazima waote vitambiWengine wana konda wengine wanakufa mapema wengine wanachanganyikiwa, wewe kama umepata kitambi mshukuru Mungu.
Ni kweli kaka, fanya uchunguziHuu ni uongo
kwa utafiti upi? bila utafiti ni porojo hizi.Moja kwa moja kwenye mada, kwanini wanaume wengi baada ya kuingia kwenye ndoa tu haipiti muda wanaanza kuota vitambi. Yani kumjua mwanaume kama ameoa ni rahisi sana asilimia kubwa wanakua na vitambi.
kwanini inakua hivi, kifanyike nini ili wawe kawaida kama wale ma bachela KATAA NDOA 🙂
.......
SanaWengine wana konda wengine wanakufa mapema wengine wanachanganyikiwa, wewe kama umepata kitambi mshukuru Mungu.
na vile vitambi vya akina junia kule kindergarten unavielezeaje? nao wana ndoa?Moja kwa moja kwenye mada, kwanini wanaume wengi baada ya kuingia kwenye ndoa tu haipiti muda wanaanza kuota vitambi. Yani kumjua mwanaume kama ameoa ni rahisi sana asilimia kubwa wanakua na vitambi.
kwanini inakua hivi, kifanyike nini ili wawe kawaida kama wale ma bachela KATAA NDOA 🙂
.......
Ni kweli,mimi baada ya kutoka home na kuwa na kwangu,tulikuwa tunakula mpaka naona sio poaKwasababu ukioa unaanza kulazimishwa kula hata kama hauna njaa ukisema umeshiba unaambiwa umeshakula kwa wanawake zako
Moja kwa moja kwenye mada, kwanini wanaume wengi baada ya kuingia kwenye ndoa tu haipiti muda wanaanza kuota vitambi. Yani kumjua mwanaume kama ameoa ni rahisi sana asilimia kubwa wanakua na vitambi.
kwanini inakua hivi, kifanyike nini ili wawe kawaida kama wale ma bachela KATAA NDOA 🙂
.......
aisee inawezekanaIko hivi,Mwanamke kabla hamjaoana,anakupenda kwa ule muonekano wako,umbo lako zuri,uvaaji wako mzuri,pato lako n.k
Mkishaoana,mambo huwa kinyume.Atajitahidi uwe na muonekano wa ki father zaidi,ili usivutie wanawake na vibinti vingine.Atakomaa ule vyakula vyenye mafuta na wanga mwingi,ili unenepe,uwe bonge na kitambi,upoteze mvuto kabisa.
Hata nguo atajitahidi uache kuvaa cardets na jeans,atakushonea mashati ya vitenge na suruali za vitambaa zenye upana kama za Kim jong Un,ilimradi upoteze mvuto na usiwavutie wanawake wengine,uwe wake peke yake.
Kweli kabisaInategemea, Kuna ambao ni ongezeko la bia baada ya kushinda bar akikimbia kelele.
Siyo woteMoja kwa moja kwenye mada, kwanini wanaume wengi baada ya kuingia kwenye ndoa tu haipiti muda wanaanza kuota vitambi. Yani kumjua mwanaume kama ameoa ni rahisi sana asilimia kubwa wanakua na vitambi.
kwanini inakua hivi, kifanyike nini ili wawe kawaida kama wale ma bachela KATAA NDOA 🙂
.......