Kwanini Wanawake hulazimisha kulala na wapenzi wao hoteli za kifahari?

Kwanini Wanawake hulazimisha kulala na wapenzi wao hoteli za kifahari?

Kinachotakiwa ni kuwa huru moyoni mambo ya starehe lazima yaendane na mfuko hivyo kulazimisha yaliyojuu yako kiuchumi ni kuufurahisha mwili na kuumiza akili.
 
Hivi inakuaje unaekeana appointment na mwanamke wewe upo kazini anakuambia ameshatangulia sehemu husika halafu hiyo ndio mara ya kwanza kukutana kwa ajili ya show.

Manzi anakupa location unachukua usafiri wako unaibuka mara ghafla mtu kashatangulia reception kubook chumba alaf ni hotelini 150,000 aseh mpk nmepatwa na stroke ya ghafla. Nikajiuliza huyu anajua mfukon niko na shingp!!!!

Nikajaribu kumshawishi tuhamie lodge mbon nmeona sehemu nzuri zaid bei ya kawaida ili tuepushe matumizi yasiyokuw na lazima dem kagoma kabisa kuhama pale.

Nikaona isiwe kesi nikainuka kmya kmy nakusepa katuma msg kibao kauli yangu ile ile tubadilishe eneo tuepushe gharama bado kagoma nimeamua kusepa na kupotezea mzigo
Huyo mzee ameamua kumkomesha "Muuni" kama alivyoelekeza Polepole😀
 
Hakuna Cha level hapo!

Huo ni udangaji wa kimataifa,no love, ndo maana mshikaji akashituka na kukimbia. Nampa hongera kwa uamuzi alio ufanya.

Vipi kwani wewe uko level ipi.?[emoji16]
Level zipo sana.

Sasa mtu kijitahidi sana guest short time akitumia sana 50!!!

Utamwezaje ambaye hang out yake tu hoteli za maana bado kulala!!!!!

Kuna wanawake wa kwenda guest
Kuna wa lodge
Kuna wa hoteli za nyota 3 hadi 5

Jua level yako kaka
 
Level zipo sana.

Sasa mtu kijitahidi sana guest short time akitumia sana 50!!!

Utamwezaje ambaye hang out yake tu hoteli za maana bado kulala!!!!!

Kuna wanawake wa kwenda guest
Kuna wa lodge
Kuna wa hoteli za nyota 3 hadi 5

Jua level yako kaka
Inshu kubwa ni udangaji dada.Hayo mengine ni ya ziada tu.Ndo maana mshikaji kakimbia,hakuna cha level wala nini.Maana ukakuta unatoa hiyo 150k bado show mbovu,pussy mbovu,mwili mbovu.Sasa ndo nini
 
Inshu kubwa ni udangaji dada.Hayo mengine ni ya ziada tu.Ndo maana mshikaji kakimbia,hakuna cha level wala nini.Maana ukakuta unatoa hiyo 150k bado show mbovu,pussy mbovu,mwili mbovu.Sasa ndo nini
Unatoa 150k kwa k iliofukizwa had ikapoteza ile natural scent ama unakutana na dekio tena dekio la baridi kweli😂😂😂
 
kama kulipia nisingeshindwa lkn mm lengo langu ni kumwambia bora tutafute chumba angalau bhas hata 30k ili hiyo nyingine nimpe km ya nauli na mambo mengine kuliko kumaliza mweny room hiyo pesa yote kuna ulazima gn!!!

mbona kuna lodge nzur 20k tena safi sana,shida wadada mnataka mauzo kuwa umelala hotelin mjipige selfie mpost ndio raha zenu!?
20k unafeli mwalimu
 
150 hotel, bado posho yake....halafu ukute anakupa mambo meusi, bora tu umeamsha bana.

Mia hamsini hapo lazima anapakwa machupa kwa mgongo wa futa, anavua nguo nusu mara kitako mara kimo,, afu anapita msata mpaka chamwino.

If you don't get it, forget about it.
 
Safi sana kuna mwaka mmoja liingia mahala nikanywa supu ya 8000 nikajikuta machozi yanatoka watu wakadhani nimezidisha pilipili kumbe nilikuwa nalia naiwazia buku nane.
duuuh, hatari fayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
wakati mwingine muulisage bei beeee
 
"Kizuri mimi nimuwazi nakwambia baby mpaka nakuja kwako na mimi kuna gharama nimeingia, zawadi kibao nimekubebea nguo kali nimekubebea zote jumla haviko chini ya laki wewe unilaze vyumba vya buku 20? Hapana baby unatakiwa na wewe kuingia gharama kidogo.its whether tulale hotelini au unipeleke kwako."

Heeee hivi wanawake kama hawa 👆👆 wapo, hongera sana. Si wengine zawadi tunazoletewa soksi, leso, boxer na kauwoshi,ukimwabia baby basi nibadilishie zawadi hizi nisha zizoea wenyewe wanatuambia "mimi sio mama yako.........",basi unajua huyo ni wakupita.

Hongera.
eti baby nibadilishie nishazichoka,,,,hahhahaha dunia inaenda kasi sana

kwani nyie mnawapaga zawadi gani?

nimejikuta nacheka kwa nguvu
 
eti baby nibadilishie nishazichoka,,,,hahhahaha dunia inaenda kasi sana

kwani nyie mnawapaga zawadi gani?

nimejikuta nacheka kwa nguvu
Wanawake wakibongo wanataka hela zawadi watajinunulia wenyewe,yaani hata ukimnunulia zawadi still bado atakutangazia njaa.
 
Wanawake wakibongo wanataka hela zawadi watajinunulia wenyewe,yaani hata ukimnunulia zawadi still bado atakutangazia njaa.
yaani you made ma day,,,eti nibadilishie

hahahahhahahha
 
eti baby nibadilishie nishazichoka,,,,hahhahaha dunia inaenda kasi sana

kwani nyie mnawapaga zawadi gani?

nimejikuta nacheka kwa nguvu
Mnazo zitaka nyie ndo huwa mnapewa Sasa nyie Sasa ni mwendo wa socks,Leso hamna nyingine?
 
Unatoa 150k kwa k iliofukizwa had ikapoteza ile natural scent ama unakutana na dekio tena dekio la baridi kweli[emoji23][emoji23][emoji23]
Atari sana!
K baridi,upana wake mto ruvu,harufu shombo la samaki angalau ukimwangalia usoni huamini harufu inatoka kwake,gogo kwa bed,pumzi sekunde kadhaa tu hoi,staili kifo cha mende staili nyingine utasikia naumia au siwezi. Nyooo.... [emoji13]
 
Hivi inakuaje unaekeana appointment na mwanamke wewe upo kazini anakuambia ameshatangulia sehemu husika halafu hiyo ndio mara ya kwanza kukutana kwa ajili ya show.

Manzi anakupa location unachukua usafiri wako unaibuka mara ghafla mtu kashatangulia reception kubook chumba alaf ni hotelini 150,000 aseh mpk nmepatwa na stroke ya ghafla. Nikajiuliza huyu anajua mfukon niko na shingp!!!!

Nikajaribu kumshawishi tuhamie lodge mbon nmeona sehemu nzuri zaid bei ya kawaida ili tuepushe matumizi yasiyokuw na lazima dem kagoma kabisa kuhama pale.

Nikaona isiwe kesi nikainuka kmya kmy nakusepa katuma msg kibao kauli yangu ile ile tubadilishe eneo tuepushe gharama bado kagoma nimeamua kusepa na kupotezea mzigo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Atari sana!
K baridi,upana wake mto ruvu,harufu shombo la samaki angalau ukimwangalia usoni huamini harufu inatoka kwake,gogo kwa bed,pumzi sekunde kadhaa tu hoi,staili kifo cha mende staili nyingine utasikia naumia au siwezi. Nyooo.... [emoji13]
Inakuwa gharama aziendani thaman na huduma unayoilipia
 
Back
Top Bottom