Kwanini Wanawake hulazimisha kulala na wapenzi wao hoteli za kifahari?

Kwanini Wanawake hulazimisha kulala na wapenzi wao hoteli za kifahari?

Hivi inakuaje unaekeana appointment na mwanamke wewe upo kazini anakuambia ameshatangulia sehemu husika halafu hiyo ndio mara ya kwanza kukutana kwa ajili ya show.

Manzi anakupa location unachukua usafiri wako unaibuka mara ghafla mtu kashatangulia reception kubook chumba alaf ni hotelini 150,000 aseh mpk nmepatwa na stroke ya ghafla. Nikajiuliza huyu anajua mfukon niko na shingp!!!!

Nikajaribu kumshawishi tuhamie lodge mbon nmeona sehemu nzuri zaid bei ya kawaida ili tuepushe matumizi yasiyokuw na lazima dem kagoma kabisa kuhama pale.

Nikaona isiwe kesi nikainuka kmya kmy nakusepa katuma msg kibao kauli yangu ile ile tubadilishe eneo tuepushe gharama bado kagoma nimeamua kusepa na kupotezea mzigo
Mwamba umesema kweli, mie kuna mmoja nilimpotezea baada ya kunitumia booking ya Overhang, $ 150 per night ndo twende huko.

Sio kwamba siwez kulipa but nilijiuliza mengi sana… maana kila mwezi mshahara wake huwa haumtoshi kuishi na ataomba support ya matumiz kwangu, then bila ya aibu akataka niende kuchoma 350,000 just for a room for one night and this price is excluding chakula na vinywaji… kwa kweli nilimuona boya na limbukeni kabisa.
 
Safi sana baharia.. mi kuna demu niliachana nae alipodai anataka nimpeleke self container wakati nishapata chumba cha bei chee, 4000.. chumba hapa, choo na bafu mita 30.. alipoanza kuleta masharti nikasepa.. hawa wa short time wapunguze masharti..
 
Hivi inakuaje unaekeana appointment na mwanamke wewe upo kazini anakuambia ameshatangulia sehemu husika halafu hiyo ndio mara ya kwanza kukutana kwa ajili ya show.

Manzi anakupa location unachukua usafiri wako unaibuka mara ghafla mtu kashatangulia reception kubook chumba alaf ni hotelini 150,000 aseh mpk nmepatwa na stroke ya ghafla. Nikajiuliza huyu anajua mfukon niko na shingp!!!!

Nikajaribu kumshawishi tuhamie lodge mbon nmeona sehemu nzuri zaid bei ya kawaida ili tuepushe matumizi yasiyokuw na lazima dem kagoma kabisa kuhama pale.

Nikaona isiwe kesi nikainuka kmya kmy nakusepa katuma msg kibao kauli yangu ile ile tubadilishe eneo tuepushe gharama bado kagoma nimeamua kusepa na kupotezea mzigo
Hili kosa usije ukalirudia maishani mwako. Baharia hapangiwi location na demu. Shika hii utakuja kunishukuru.
 
Sasa ukikubali nikutongoze si unanipa maujanja?

Ona sasa ninavyofeli feli.

No, Thank you

Na unafeli sana Bibie,, Unataka watu wajuane nini,,? kipi hasa ukijue kwa binadamu uliyemkuta ameishi miaka kibao,, ujue mapepo au? au muigiziane kimtindo kama movie za kihindi...

Au unataka ndoa?
 
No, Thank you

Na unafeli sana Bibie,, Unataka watu wajuane nini,,? kipi hasa ukijue kwa binadamu uliyemkuta ameishi miaka kibao,, ujue mapepo au? au muigiziane kimtindo kama movie za kihindi...

Au unataka ndoa?
Mahusiano (read conjugation) ni kwa ajili ya copulation sio kujuana huko.

So yes. Ni kwa ajili ya ndoa.
 
Hawezi kukupeleka sehemu anayojua huwezi kulipia.

Anajua akikuzoesha kumpandisha nyeunge kila siku atakuwa wa nyehunge miaka yote. Kumbe wengine unawapandishaga ndege yeye unamuona cheap anastahili nyehunge.

Anyway. Kama hiyo hela hauna ondoka ila kama unayo unataka umlaze vyumba vya bei rahisi shindwa na ulegee na ka dushe kako kasifanye kazi.

Nb.kila mtu ale kulingana na urefu wa kamba yake. Binafsi huwezi nilaza chumba cha efu 10 wakati nina uwezo wa kujilipia chumba cha elfu 50 na nikalala mwenyewe.
Hahahahah Chumba cha elfu 10 majanga 😅 hivyo huwa tunapigia short time tu kwa kazi zisizo rasmi.

Personally naona chumba kwenye lodge cha kuanzia 25K-35K its more than enough kulala na mtu anaeeleweka na kunakuwa na full facilities kama AC, feni TV, choo kisafi na mazingira masafi kiujumla no matter the location ila ni grade nzuri.

Chumba cha hoteli utalipia kuanzia elfu 60 au zaidi but tofauti itakuwa ni ukubwa tu. Hotel utapewa lichumba likubwa hata la futi 20*20 which is of no importance ikiwa facilities zote hata lodge zipo.

Jamaa yupo sahihi kumkimbia huyo mshenzi ambaye anataka alalwe kwa 150K bed na bado atadai posho baada ya kuliwa.
 
kama kulipia nisingeshindwa lkn mm lengo langu ni kumwambia bora tutafute chumba angalau bhas hata 30k ili hiyo nyingine nimpe km ya nauli na mambo mengine kuliko kumaliza mweny room hiyo pesa yote kuna ulazima gn!!!

mbona kuna lodge nzur 20k tena safi sana,shida wadada mnataka mauzo kuwa umelala hotelin mjipige selfie mpost ndio raha zenu!?
Huyo demu lengo kuu la hotelini ni kuwatambia snapchat kuwa kapata boya wake anae mcare😅 hadi insta asingewaacha salama😅
 
wee acha tu japo mtoto anazigo ila nimeamua kuupotezea mazima ila kafeli padogo sana
Samahani kidogo,
Hivi ule mzigo huwa mnakata kipande kidogo mnaondoka nacho au anabaki nao mwenyewe?
 
Ulikuwa sahihi kwa maamuzi uliyofanya. Usifanye jambo then baadae uishi kwa majuto, usipende kuendeshwa ili tu umfurahushe mtu wakati nafsi yako haina amani. Nina uhakika hata ungekubali kulipa hiyo 150k, ungepiga mechi ya kichovu kuliko kawaida coz ungekuwa na donge na hasira moyoni.

Fanya kile unachoweza, don't try to impress others while bleeding from the inside.

Kwel kabisa upo sahihi
 
Inategemea na unavyojipambanua kwake,kama unamwambiaga kazini kwako wewe ndio bosi na ukienda kwake unaazima gari lazima akupige mzinga wa kiwango cha lami,lakini ukipiga nae stori ukamwambia kazini kwako unakulaga wali maharage ila unaomba wakupakulie kwa mwiko wa nyama atakupiga mzinga wa barabara ya kiwango cha vumbi.

Wala sijawahi kumwambia mambo km hayo mm nilitupa ndoano tu sinaga stor za kujikosha
 
Dunian tunaishi mara moja enjoy life 150 sio mbaya km mtoto ananukia vizur ana viwango kimuonekano toa pesa bro ndo matumizi yake ayo
Mwanamke haweZi kukuomba laki km hadhi yako ni elf10 nazan kulingana na hadhi yako au jinsi ulivyojiweka kaona apo ndo panafaa

150k [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom