Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mjifunze kutongoza wanawake wa level zenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mjifunze kutongoza wanawake wa level zenu
Una akili sanaAlikuwa na hesabu kali huyo
Itakuwa alipiga show ya kwanza palepale na imegharaamiwa na mwingine
So anatumia gharama ileile naawe ule mzigo ukilipa reception ataichukuliaa pale au anakwambiaa amelipiaa ili umrudishie taslim,ukijumlisha na ya kumpa atoke na kitita[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wana-add value kwenye udangaji wakienda hotel kama hizo. Kesho akikutana na mzembe mzembe anaenda kupelekwa hotel ya 300k.Madem type ya Tunda hao. Wanaoenda exoensive hotel rooms wakajipige picha wavimbe instagram
Manyaku ndio nn ndugu?Kuna baadhi ya dini zinafundisha kuwa zinaa inatia ufukara ( umasikini ) ... ila hapo naona mwanamke anakuwa amepanga bei ya chumba na muhudumu yaani itayobaki ni yake.. kwanza pili hizo nyumba za wageni za bei ya juu huwa ni self - salama; kwa kuonwa na manyaku kama mmedate: ukiziringanisha na hizi za bei chee/ rahisi
Dah mkuu hii yako kaliInategemea na unavyojipambanua kwake,kama unamwambiaga kazini kwako wewe ndio bosi na ukienda kwake unaazima gari lazima akupige mzinga wa kiwango cha lami,lakini ukipiga nae stori ukamwambia kazini kwako unakulaga wali maharage ila unaomba wakupakulie kwa mwiko wa nyama atakupiga mzinga wa barabara ya kiwango cha vumbi.
hii kweli mkuu, kuna wengine kutoka out hadi mkesha wa mwaka mpya, baada ya kupewa somo na padri, wiki la familia...hahahahahaKwan wakioana ndio gharama zitapungua? Tena hapo akimuoa mwanamke kama huyo ndio gharama za maisha zitaingezeka maana inaonekana huyo dem anapenda ufahari sana kwaiyo akishindwa kumpatia vile anavyopenda atatafta mtu nje wa kumpatia.
Alaf kuoa sio mwisho wa kwenda kulala Lodge au hotelin. Kuna mda utaitaji quality time na mkeo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea,150000 halafu unakuta hata hamlali[emoji23][emoji23].
Safi sana , umefanya vizuri kuondoka.
yashakukutaga nini mkuu?Wanawake wa kule exotic ndo zao hizo[emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan wenye sura za uncles hawafai kuwepo huko Hyatt?Huyo ni demu wangu kabisa anapenda sehemu za bei ya juuu wakati sura ni ya mjomba.
Alikuwa na hesabu kali huyo
Itakuwa alipiga show ya kwanza palepale na imegharaamiwa na mwingine
So anatumia gharama ileile naawe ule mzigo ukilipa reception ataichukuliaa pale au anakwambiaa amelipiaa ili umrudishie taslim,ukijumlisha na ya kumpa atoke na kitita[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]km ulikuepo vile akasema yan tulikuwa na masaa mawili ya kuperform show alaf aende kupeleka gar sijui wap alaf arud badae sa4 ya usiku au sa6...nikaona hiyo ndio haifai kabisa hata kutoa pesa
😂😂😂😂😂Wape fursa wenzako wakalipie wale mzigo
Watu wanazania ukisha muoa bas hutakiwi kumpeleka Lodge au hotelin tena.hii kweli mkuu, kuna wengine kutoka out hadi mkesha wa mwaka mpya, baada ya kupewa somo na padri, wiki la familia...hahahahaha
Siamini katika hizo mambo. Kwsngu mimi ni uhuni tu na dhambi kubwa ya uzinzi.Unaionaje hiyo 150k kwa short time madam[emoji23]
Hivi inakuaje unaekeana appointment na mwanamke wewe upo kazini anakuambia ameshatangulia sehemu husika halafu hiyo ndio mara ya kwanza kukutana kwa ajili ya show.
Manzi anakupa location unachukua usafiri wako unaibuka mara ghafla mtu kashatangulia reception kubook chumba alaf ni hotelini 150,000 aseh mpk nmepatwa na stroke ya ghafla. Nikajiuliza huyu anajua mfukon niko na shingp!!!!
Nikajaribu kumshawishi tuhamie lodge mbon nmeona sehemu nzuri zaid bei ya kawaida ili tuepushe matumizi yasiyokuw na lazima dem kagoma kabisa kuhama pale.
Nikaona isiwe kesi nikainuka kmya kmy nakusepa katuma msg kibao kauli yangu ile ile tubadilishe eneo tuepushe gharama bado kagoma nimeamua kusepa na kupotezea mzigo
Manyaku ndio nn ndugu?
Jamani jamani madam!! Haka kadhambi kana upekee wake ujuweSiamini katika hizo mambo. Kwsngu mimi ni uhuni tu na dhambi kubwa ya uzinzi.