Kwanini Wanawake hulazimisha kulala na wapenzi wao hoteli za kifahari?

Kwanini Wanawake hulazimisha kulala na wapenzi wao hoteli za kifahari?

Alikuwa na hesabu kali huyo
Itakuwa alipiga show ya kwanza palepale na imegharaamiwa na mwingine
So anatumia gharama ileile naawe ule mzigo ukilipa reception ataichukuliaa pale au anakwambiaa amelipiaa ili umrudishie taslim,ukijumlisha na ya kumpa atoke na kitita[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Una akili sana
 
Madem type ya Tunda hao. Wanaoenda exoensive hotel rooms wakajipige picha wavimbe instagram
Wana-add value kwenye udangaji wakienda hotel kama hizo. Kesho akikutana na mzembe mzembe anaenda kupelekwa hotel ya 300k.
 
Inategemea na unavyojipambanua kwake,kama unamwambiaga kazini kwako wewe ndio bosi na ukienda kwake unaazima gari lazima akupige mzinga wa kiwango cha lami,lakini ukipiga nae stori ukamwambia kazini kwako unakulaga wali maharage ila unaomba wakupakulie kwa mwiko wa nyama atakupiga mzinga wa barabara ya kiwango cha vumbi.
 
Dunian tunaishi mara moja enjoy life 150 sio mbaya km mtoto ananukia vizur ana viwango kimuonekano toa pesa bro ndo matumizi yake ayo
Mwanamke haweZi kukuomba laki km hadhi yako ni elf10 nazan kulingana na hadhi yako au jinsi ulivyojiweka kaona apo ndo panafaa
 
Kuna baadhi ya dini zinafundisha kuwa zinaa inatia ufukara ( umasikini ) ... ila hapo naona mwanamke anakuwa amepanga bei ya chumba na muhudumu yaani itayobaki ni yake.. kwanza pili hizo nyumba za wageni za bei ya juu huwa ni self - salama; kwa kuonwa na manyaku kama mmedate: ukiziringanisha na hizi za bei chee/ rahisi
Manyaku ndio nn ndugu?
 
Inategemea na unavyojipambanua kwake,kama unamwambiaga kazini kwako wewe ndio bosi na ukienda kwake unaazima gari lazima akupige mzinga wa kiwango cha lami,lakini ukipiga nae stori ukamwambia kazini kwako unakulaga wali maharage ila unaomba wakupakulie kwa mwiko wa nyama atakupiga mzinga wa barabara ya kiwango cha vumbi.
Dah mkuu hii yako kali
 
Kwan wakioana ndio gharama zitapungua? Tena hapo akimuoa mwanamke kama huyo ndio gharama za maisha zitaingezeka maana inaonekana huyo dem anapenda ufahari sana kwaiyo akishindwa kumpatia vile anavyopenda atatafta mtu nje wa kumpatia.

Alaf kuoa sio mwisho wa kwenda kulala Lodge au hotelin. Kuna mda utaitaji quality time na mkeo.
hii kweli mkuu, kuna wengine kutoka out hadi mkesha wa mwaka mpya, baada ya kupewa somo na padri, wiki la familia...hahahahaha
 
Alikuwa na hesabu kali huyo
Itakuwa alipiga show ya kwanza palepale na imegharaamiwa na mwingine
So anatumia gharama ileile naawe ule mzigo ukilipa reception ataichukuliaa pale au anakwambiaa amelipiaa ili umrudishie taslim,ukijumlisha na ya kumpa atoke na kitita[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Haha.
 
km ulikuepo vile akasema yan tulikuwa na masaa mawili ya kuperform show alaf aende kupeleka gar sijui wap alaf arud badae sa4 ya usiku au sa6...nikaona hiyo ndio haifai kabisa hata kutoa pesa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
hii kweli mkuu, kuna wengine kutoka out hadi mkesha wa mwaka mpya, baada ya kupewa somo na padri, wiki la familia...hahahahaha
Watu wanazania ukisha muoa bas hutakiwi kumpeleka Lodge au hotelin tena.
 
Hivi inakuaje unaekeana appointment na mwanamke wewe upo kazini anakuambia ameshatangulia sehemu husika halafu hiyo ndio mara ya kwanza kukutana kwa ajili ya show.

Manzi anakupa location unachukua usafiri wako unaibuka mara ghafla mtu kashatangulia reception kubook chumba alaf ni hotelini 150,000 aseh mpk nmepatwa na stroke ya ghafla. Nikajiuliza huyu anajua mfukon niko na shingp!!!!

Nikajaribu kumshawishi tuhamie lodge mbon nmeona sehemu nzuri zaid bei ya kawaida ili tuepushe matumizi yasiyokuw na lazima dem kagoma kabisa kuhama pale.

Nikaona isiwe kesi nikainuka kmya kmy nakusepa katuma msg kibao kauli yangu ile ile tubadilishe eneo tuepushe gharama bado kagoma nimeamua kusepa na kupotezea mzigo

Kwa nini Wanaume uchagua wanawake wenye sura nzuri, maumbo mazuri na wenye kuvaa vizuri? Ukijibu hili swali, pia utakuwa umejibu unalouliza.
 
Back
Top Bottom