Basi hamna shida cha msingi mbususu unapatikana hiyo 250k yakoKwendraaaaa cha laki 3staki nataka cha 50 tu ilobaki unipe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi hamna shida cha msingi mbususu unapatikana hiyo 250k yakoKwendraaaaa cha laki 3staki nataka cha 50 tu ilobaki unipe
Kulala tena? Nia si ni kupelekeana moto au nakosea150000 halafu unakuta hata hamlali[emoji23][emoji23].
Safi sana , umefanya vizuri kuondoka.
Wanatongoza wadangaji halafu wanakuja kujilalamisha huku.Mjifunze kutongoza wanawake wa level zenu
Vipi wewe unayo? Sidhani kwa kauli kama hizo, itakuwa washakufumua. Nasikia zenu za marinda, hufumuliwa.sawa mama ushaur utakuta unaongea hvyo angali hauna bikra hapo ulipo na hujaolewa
Hakuna Cha level hapo!Mjifunze kutongoza wanawake wa level zenu
Na wewe inakuwaje demu ndo atafute lodge, broo mark my words hilo kosa usirudie tena unakuja kuliwa kiboga kizembezembe!Hivi inakuaje unaekeana appointment na mwanamke wewe upo kazini anakuambia ameshatangulia sehemu husika halafu hiyo ndio mara ya kwanza kukutana kwa ajili ya show.
Manzi anakupa location unachukua usafiri wako unaibuka mara ghafla mtu kashatangulia reception kubook chumba alaf ni hotelini 150,000 aseh mpk nmepatwa na stroke ya ghafla. Nikajiuliza huyu anajua mfukon niko na shingp!!!!
Nikajaribu kumshawishi tuhamie lodge mbon nmeona sehemu nzuri zaid bei ya kawaida ili tuepushe matumizi yasiyokuw na lazima dem kagoma kabisa kuhama pale.
Nikaona isiwe kesi nikainuka kmya kmy nakusepa katuma msg kibao kauli yangu ile ile tubadilishe eneo tuepushe gharama bado kagoma nimeamua kusepa na kupotezea mzigo
Ni mbinu nzur ya kibiashara😀😀Probably
Ulikutana na muuzaji.
Iyo unakuta ni hotel Yake ya kupelekea vichwa vyake, yeye kakilipia siku nzima labda laki.
kwa uhakika kwa siku anapata vichwa viwili Kama Wewe.
Anaongea na mhudumu kua kila nikileta mteja sema chumba Ni 150,000.
Ukilipa Iyo pesa anabaki na 100,000 ya juu,
Iyo 50 anampoza mhudumu.
Kwa siku mkipatikana 3, anauhakika wa kuingiza laki 3 kwa chumba TU.
Hapo Bado posho utakayomuachia[emoji4]
Wanawake wa kule exotic ndo zao hizo[emoji4]Ni mbinu nzur ya kibiashara[emoji3][emoji3]
Kwani wakioana ndio gharama zitapungua? Tena hapo akimuoa mwanamke kama huyo ndio gharama za maisha zitaingezeka maana inaonekana huyo dem anapenda ufahari sana kwaiyo akishindwa kumpatia vile anavyopenda atatafta mtu nje wa kumpatia.Oaneni, uzinzi na uasherati ni uchafu na haramu.
Unafanya mwenyewe haramu halafu unamlalamikia nani? "Mali ya mlevi huliwa na mgema".
Unaandaa location mwenyewe unamwambia ajeWanawake wa kule exotic ndo zao hizo[emoji4]
Utakua umemuweza[emoji4]Unaandaa location mwenyewe unamwambia aje
Lazima kuwe na matumiz mazuri ya fedha. Tena had kula na kunywa unamwambia kabsa agiza unachoitaji ila isizidi kias flanUtakua umemuweza[emoji4]
Kuna mwamba anampelekaga hapo ndio maana....
Ungempeleka kwako
Huyo sio dem ni saccos