the numb 1
JF-Expert Member
- Dec 15, 2020
- 1,562
- 2,902
- Thread starter
- #121
Mkuu punguza hasira kwanza[emoji23][emoji23][emoji23]
wala siwez kuwa na hasira kwanz nilivyosepa moyo wangu naona ndio ulikuw fresh zaid km ningelipia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu punguza hasira kwanza[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo mdada ana maisha ya bongo movie
Mjifunze kutongoza wanawake wa level zenu
Sawakwangu hapana kwamaan sina plan nae
Vipi wewe unayo? Sidhani kwa kauli kama hizo, itakuwa washakufumua. Nasikia zenu za marinda, hufumuliwa.
Kama unayo lipa kasafishe rungu, unadhani hizo hotel za 150k wanatumia ke kujisaga ? Ni sisi sisi mazee
Polepesa sio kikwazo ila siwez nikaspend money 150k kwa masaa
We nae..Tatizo mnakimbiliaga kukulana kabla hamjajuana vizuri.
Kumbe wadada nao wachumi eeh![emoji23][emoji23]150000 halafu unakuta hata hamlali[emoji23][emoji23].
Safi sana , umefanya vizuri kuondoka.
Ulifanga jambo la maana sana. Huyo dem hajui ata Cost efficiency. Hapo unalipia hio 150k alaf unakuta show za hvyo hvyo tu.
Sasa ukikubali nikutongoze si unanipa maujanja?We nae..
Mtajuana vipi sasa kabla ya mgegedo..??? kujuana tofauti na huko ni ubatili..
Vijana siku hizi wanaanzia mwisho kuja mwanzo....
We nae umekuja kuwa Old skuli sana
Huenda kizazi chetu kinaanza kupitwa na wakati madam, wenzetu siku ya kwanza kukutana ni lodge, baada ya hapo ndio wanaanza kufahamianaSasa ukikubali nikutongoze si unanipa maujanja?
Ona sasa ninavyofeli feli.
Na kweli manake ukipita kule kwenye masikhara utajiuliza hibi mie ni wa karne ipi mbona haya matukio mageni sana.Huenda kizazi chetu kinaanza kupitwa na wakati madam, wenzetu siku ya kwanza kukutana ni lodge, baada ya hapo ndio wanaanza kufahamiana
Unaionaje hiyo 150k kwa short time madam[emoji23]Na kweli manake ukipita kule kwenye masikhara utajiuliza hibi mie ni wa karne ipi mbona haya matukio mageni sana.
mashikolo mageni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji87][emoji87]
DuuuuuhhhhVipi wewe unayo? Sidhani kwa kauli kama hizo, itakuwa washakufumua. Nasikia zenu za marinda, hufumuliwa.