Kwanini Wanawake hulazimisha kulala na wapenzi wao hoteli za kifahari?

Kwanini Wanawake hulazimisha kulala na wapenzi wao hoteli za kifahari?

Alikuwa na hesabu kali huyo
Itakuwa alipiga show ya kwanza palepale na imegharaamiwa na mwingine
So anatumia gharama ileile naawe ule mzigo ukilipa reception ataichukuliaa pale au anakwambiaa amelipiaa ili umrudishie taslim,ukijumlisha na ya kumpa atoke na kitita[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

nilitakiwa nikalipie mapokez sas sijui lengo lake ilikuw nn kaacha lodge zote huko na kwenda hotelin yan nikapige pumb** masaa tu alaf 150,000 initoke ya room na tulikubaliana tunalala hapo vyakula je nikaona hii sitoweza
 
Hawezi kukupeleka sehemu anayojua huwezi kulipia.
Anajua akikuzoesha kumpandisha nyeunge kila siku atakuwa wa nyehunge miaka yote. Kumbe wengine unawapandishaga ndege yeye unamuona cheap anastahili nyehunge.

Anyway. Kama hiyo hela hauna ondoka ila kama unayo unataka umlaze vyumba vya bei rahisi shindwa na ulegee na ka dushe kako kasifanye kazi.

Nb.kila mtu ale kulingana na urefu wa kamba yake. Binafsi huwezi nilaza chumba cha efu 10 wakati nina uwezo wa kujilipia chumba cha elfu 50 na nikalala mwenyewe.

kama kulipia nisingeshindwa lkn mm lengo langu ni kumwambia bora tutafute chumba angalau bhas hata 30k ili hiyo nyingine nimpe km ya nauli na mambo mengine kuliko kumaliza mweny room hiyo pesa yote kuna ulazima gn!!!

mbona kuna lodge nzur 20k tena safi sana,shida wadada mnataka mauzo kuwa umelala hotelin mjipige selfie mpost ndio raha zenu!?
 
hiv inakuaje unaekeana appointment na mwanamke ww upo kazin anakuambia ameshatangulia sehem husika alaf hiyo ndio mara ya kwanza kukutana kwa ajili ya show

Manz anakupa location unachukua usafiri wako unaibuka mara ghafla mtu kashatangulia reception kubook chumba alaf ni hotelini 150,000 aseh mpk nmepatwa na stroke ya ghafla.

Nikajiuliza huyu anajua mfukon niko na shingp!!!!

nikajaribu kumshawishi tuhamie lodge mbon nmeona sehem nzur zaid bei ya kawaida ili tuepushe matumizi yasiyokuw na lazima dem kagoma kabisa kuhama pale.

Nikaona isiwe kesi nikainuka kmya kmy nakusepa katuma msg kibao kauli yangu ile ile tubadilishe eneo tuepushe gharama bado kagoma nimeamua kusepa na kupotezea mzigo
Hebu tuna picha tuone kwanza Kama ni SAWA kulaza chumba Cha Bei usikute chumba Cha mchongo ana sura ya baba yake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
150000 halafu unakuta hata hamlali[emoji23][emoji23].
Safi sana , umefanya vizuri kuondoka.

km ulikuepo vile akasema yan tulikuwa na masaa mawili ya kuperform show alaf aende kupeleka gar sijui wap alaf arud badae sa4 ya usiku au sa6...nikaona hiyo ndio haifai kabisa hata kutoa pesa
 
Hawezi kukupeleka sehemu anayojua huwezi kulipia.
Anajua akikuzoesha kumpandisha nyeunge kila siku atakuwa wa nyehunge miaka yote. Kumbe wengine unawapandishaga ndege yeye unamuona cheap anastahili nyehunge.

Anyway. Kama hiyo hela hauna ondoka ila kama unayo unataka umlaze vyumba vya bei rahisi shindwa na ulegee na ka dushe kako kasifanye kazi.

Nb.kila mtu ale kulingana na urefu wa kamba yake. Binafsi huwezi nilaza chumba cha efu 10 wakati nina uwezo wa kujilipia chumba cha elfu 50 na nikalala mwenyewe.
Hapo mwisho umeeleweka
 
Hebu tuna picha tuone kwanza Kama ni SAWA kulaza chumba Cha Bei usikute chumba Cha mchongo ana sura ya baba yake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

IMG_1480.jpg
 
hiv inakuaje unaekeana appointment na mwanamke ww upo kazin anakuambia ameshatangulia sehem husika alaf hiyo ndio mara ya kwanza kukutana kwa ajili ya show

Manz anakupa location unachukua usafiri wako unaibuka mara ghafla mtu kashatangulia reception kubook chumba alaf ni hotelini 150,000 aseh mpk nmepatwa na stroke ya ghafla.

Nikajiuliza huyu anajua mfukon niko na shingp!!!!

nikajaribu kumshawishi tuhamie lodge mbon nmeona sehem nzur zaid bei ya kawaida ili tuepushe matumizi yasiyokuw na lazima dem kagoma kabisa kuhama pale.

Nikaona isiwe kesi nikainuka kmya kmy nakusepa katuma msg kibao kauli yangu ile ile tubadilishe eneo tuepushe gharama bado kagoma nimeamua kusepa na kupotezea mzigo

IMG_1480.jpg
 
Back
Top Bottom