Kichochoro
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 1,135
- 1,167
Mkuu upo sawa tuma na picha xhemeji tuweze kusaminisha huenda alikuwa halali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu upo sawa tuma na picha xhemeji tuweze kusaminisha huenda alikuwa halali
Cha elf 17 hapo vp??😁😁Hawezi kukupeleka sehemu anayojua huwezi kulipia.
Anajua akikuzoesha kumpandisha nyeunge kila siku atakuwa wa nyehunge miaka yote. Kumbe wengine unawapandishaga ndege yeye unamuona cheap anastahili nyehunge.
Anyway. Kama hiyo hela hauna ondoka ila kama unayo unataka umlaze vyumba vya bei rahisi shindwa na ulegee na ka dushe kako kasifanye kazi.
Nb.kila mtu ale kulingana na urefu wa kamba yake. Binafsi huwezi nilaza chumba cha efu 10 wakati nina uwezo wa kujilipia chumba cha elfu 50 na nikalala mwenyewe.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ila kazur kanavutia black beut flan hv tako mdananda ila nmeona huyu hafai kwa matumizi ntafilisika kwa mwez tukikutana mara 10 kwenye hotel ntafilisika vby
Kwa muhusika sijui angecostiwa bei ganKama ngapi
Nyooolooo siwezi maisha ni mafupi, hela hata uzibanie elfu 50 haiwezi kununua gari.Cha elf 17 hapo vp??😁😁
Vipi umeshaondoka migombani?😊Nyooolooo siwezi maisha ni mafupi, hela hata uzibanie elfu 50 haiwezi kununua gari.
Mwezi wa 11 nilikuwa naenda nyumbani kijijini nikafika mjini gari za nyumbani zimeisha nikasema siendi kwa shangazi staki jam afu mbali na stend.
Mimi sio msanii wale maisha yao ni kujinadi hotelini. Mimi ni mtu wa kawaida ila dunia hii sinaga starehe, situmii pombe, siendagi club, sina starehe yeyote, jan to dec nikogo kwangu -kazini. Sasa imetokea ndo nimekupata badala ya kupata ka starehe kamoja hata mara moja kwa mwaka nibadirishe mazingira unanilaza chumba buku 10? Hapana.kama kulipia nisingeshindwa lkn mm lengo langu ni kumwambia bora tutafute chumba angalau bhas hata 30k ili hiyo nyingine nimpe km ya nauli na mambo mengine kuliko kumaliza mweny room hiyo pesa yote kuna ulazima gn!!!
mbona kuna lodge nzur 20k tena safi sana,shida wadada mnataka mauzo kuwa umelala hotelin mjipige selfie mpost ndio raha zenu!?
Niko chatle naomboleza msiba wa jpm.Vipi umeshaondoka migombani?😊
Na wajuaji huwa hatukosiMkuu umetuaibisha sana wanaume ni bora ungekaa tu kimya
Aisee...raha jipe mwenyewe.Mimi sio msanii wale maisha yao ni kujinadi hotelini. Mimi ni mtu wa kawaida ila dunia hii sinaga starehe, situmii pombe, siendagi club, sina starehe yeyote, jan to dec nikogo kwangu -kazini. Sasa imetokea ndo nimekupata badala ya kupata ka starehe kamoja hata mara moja kwa mwaka nibadirishe mazingira unanilaza chumba buku 10? Hapana.
Kizuri mimi nimuwazi nakwambia baby mpaka nakuja kwako na mimi kuna gharama nimeingia, zawadi kibao nimekubebea nguo kali nimekubebea zote jumla haviko chini ya laki wewe unilaze vyumba vya buku 20? Hapana baby unatakiwa na wewe kuingia gharama kidogo.its whether tulale hotelini au unipeleke kwako.
Kama wewe ni mme wa mtu unaogopa nipeleka kwako mme gani huna hata 50 ya hotel? .
Mkuu ukidate mtu msome kwanza jua kama ni anastail hizo gharama ama ni zoa zoa au ni mtu anaejiheshimu?
Mpaka nadate na wewe nakuwa nishajihakikishia kuwa huwezi nipeleka lodge za mothers union.
[emoji134]polehiv inakuaje unaekeana appointment na mwanamke ww upo kazin anakuambia ameshatangulia sehem husika alaf hiyo ndio mara ya kwanza kukutana kwa ajili ya show
Manz anakupa location unachukua usafiri wako unaibuka mara ghafla mtu kashatangulia reception kubook chumba alaf ni hotelini 150,000 aseh mpk nmepatwa na stroke ya ghafla.
Nikajiuliza huyu anajua mfukon niko na shingp!!!!
nikajaribu kumshawishi tuhamie lodge mbon nmeona sehem nzur zaid bei ya kawaida ili tuepushe matumizi yasiyokuw na lazima dem kagoma kabisa kuhama pale.
Nikaona isiwe kesi nikainuka kmya kmy nakusepa katuma msg kibao kauli yangu ile ile tubadilishe eneo tuepushe gharama bado kagoma nimeamua kusepa na kupotezea mzigo
Wew unalalama card b anatusifia [emoji38][emoji38]hiv inakuaje unaekeana appointment na mwanamke ww upo kazin anakuambia ameshatangulia sehem husika alaf hiyo ndio mara ya kwanza kukutana kwa ajili ya show
Manz anakupa location unachukua usafiri wako unaibuka mara ghafla mtu kashatangulia reception kubook chumba alaf ni hotelini 150,000 aseh mpk nmepatwa na stroke ya ghafla.
Nikajiuliza huyu anajua mfukon niko na shingp!!!!
nikajaribu kumshawishi tuhamie lodge mbon nmeona sehem nzur zaid bei ya kawaida ili tuepushe matumizi yasiyokuw na lazima dem kagoma kabisa kuhama pale.
Nikaona isiwe kesi nikainuka kmya kmy nakusepa katuma msg kibao kauli yangu ile ile tubadilishe eneo tuepushe gharama bado kagoma nimeamua kusepa na kupotezea mzigo
Ahahaha..tu enjoy tu maisha yenyewe ndio haya haya tuuNyooolooo siwezi maisha ni mafupi, hela hata uzibanie elfu 50 haiwezi kununua gari.
Mwezi wa 11 nilikuwa naenda nyumbani kijijini nikafika mjini gari za nyumbani zimeisha nikasema siendi kwa shangazi staki jam afu mbali na stend.
Nikawauliza washikaji zangu hotel nzuri wakanambia kuna lodge za 20 nzuri nikasema nataka hotel. Nikawaza hivi hotel nzuri lazima nilale nikiwa nimetoka na mwanaume?
Nikaingia Google map location hapo nilipo simama stend hotel zote nikawa nikaziona.na hiyo hotel walonambia ikiwemo. Chap naita tax wakasema sister iko karibu tukubebee mabegi, chap tukafika dah mazingira safi , wakasema sh 50, 000 sikutaka hata longolongo wakanionesha room.
Sasa wale washikaji walonisindikiza wakauliza nina shemeji.? Yaan hawaamini nalala pale mwenyewe.. kuingia mule chumba kina kila kitu cha muhimu. Nikaoga maji safi msosi nikaletewa, nililala kama beibi mashuka makali duvet coton ile ya kiwango ,achana na zile za kariakoo za elfu 30 dah, dah sikujutia hela yangu
Asubuhi naamshwa chai ya nguvu na supu ya kuku dah.
Saa 3 asubuhi wale washikaji zangu , ni wa kitambo tangu nasomaga sekondari wakogo hapo stend wakaijia mabegi yangu nikawapiga breakfast ya maana nkaenda zangu kijijini kujilia ndizi.