Kwanini Wanawake hulazimisha kulala na wapenzi wao hoteli za kifahari?


nilitakiwa nikalipie mapokez sas sijui lengo lake ilikuw nn kaacha lodge zote huko na kwenda hotelin yan nikapige pumb** masaa tu alaf 150,000 initoke ya room na tulikubaliana tunalala hapo vyakula je nikaona hii sitoweza
 

kama kulipia nisingeshindwa lkn mm lengo langu ni kumwambia bora tutafute chumba angalau bhas hata 30k ili hiyo nyingine nimpe km ya nauli na mambo mengine kuliko kumaliza mweny room hiyo pesa yote kuna ulazima gn!!!

mbona kuna lodge nzur 20k tena safi sana,shida wadada mnataka mauzo kuwa umelala hotelin mjipige selfie mpost ndio raha zenu!?
 
Hebu tuna picha tuone kwanza Kama ni SAWA kulaza chumba Cha Bei usikute chumba Cha mchongo ana sura ya baba yake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
sure 150,000 niiteketeze kwa usiku mmoja ni haram aseh japo starehe gharama sio kwa hivyo
πŸ‘πŸ»πŸ‘πŸ»πŸ‘πŸ»πŸ‘πŸ»πŸ‘†πŸ» na hapo bado kula kunywa na nauli na umpe ya matumizi 200k hiyoo na zaidi.
 
150000 halafu unakuta hata hamlali[emoji23][emoji23].
Safi sana , umefanya vizuri kuondoka.

km ulikuepo vile akasema yan tulikuwa na masaa mawili ya kuperform show alaf aende kupeleka gar sijui wap alaf arud badae sa4 ya usiku au sa6...nikaona hiyo ndio haifai kabisa hata kutoa pesa
 
Hapo mwisho umeeleweka
 
Hebu tuna picha tuone kwanza Kama ni SAWA kulaza chumba Cha Bei usikute chumba Cha mchongo ana sura ya baba yake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

 

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…