Kwanini Wanawake hulazimisha kulala na wapenzi wao hoteli za kifahari?

Kwanini Wanawake hulazimisha kulala na wapenzi wao hoteli za kifahari?

weeeee, acha hizo mambo weweeeee

yaani tatizo lenu kubwa mnahisi wanawake walioko majumbani hawafanyi kazi...laiti mngelibadilishana hata kwa siku moja ndio ungejua moto huzimwa na maji na wala sio dawa ya moto ni moto

hakuna kiumbe kina uvumilivu kama mwanamke...believe me or not itabaki kuwa hivyo.
Ukitaka kujua mwanamke ni mvumilivu nenda jera miaka 5.Utakuta kaolewa na mwingine. Ajue umefilisika,ana kimbiaa speed za ajabu Kwa mwanaume Mwingine.Mwanamke kama alichukuliwa akiwa Hana kitu akifunguliwa biashara na biashara ikasitawi ndo utaona picha yake halisi, Huo uvumilivu au kusoma ramani inaendaje?
 
Wapumbavu sana hawa viumbe unampeleka bar ana agiza Haynes wakati wewe unakunywa Serengeti lite
Hata kujiongeza hamna,Wanajiona wao ndo wao,wao Wana stahili kupewa TU,ndo wanastahili kupendwa, wanastahili kulipiwa bill.

Wambie sasa siku flani ni zamu Yao kutoa out halafu na wewe agiza kinywaji Cha kubwa zaidi yake uone povu atakalo toa[emoji2][emoji2]
 
Hata kujiongeza hamna,Wanajiona wao ndo wao,wao Wana stahili kupewa TU,ndo wanastahili kupendwa, wanastahili kulipiwa bill.

Wambie sasa siku flani ni zamu Yao kutoa out halafu na wewe agiza kinywaji Cha kubwa zaidi yake uone povu atakalo toa[emoji2][emoji2]
Sijui kwanini hua wanaona hela ya mwanaume haina kazi, akiwa peke yake anakula ugali bamia , anapanda daladala fresh tu ukiwa nae anapanda bei usafiri ni bolt, misosi anataka mkale mlimani KFC
 
Sijui kwanini hua wanaona hela ya mwanaume haina kazi, akiwa peke yake anakula ugali bamia , anapanda daladala fresh tu ukiwa nae anapanda bei usafiri ni bolt, misosi anataka mkale mlimani KFC
Ubinafsi, Roho mbayaa,uchoyo ndo sababu.Na wengi Wana kili hadharani Kwa pesa zao binafsi hawawezi kufanya vitu na ambavyo wanavyo kuwa na mwanaume.

Kwa pesa Yao watakula kiepe kikavu na kushushia Kwa maji ya kandolo maana kikubwa ni kushiba wataona fresh.

Hela ya mwanaume Sasa,Utasikia kiepe Yai,weka tomato, mishikaki ya buku 2 na Pepsi big ya baridi.
 
Ukitaka kujua mwanamke ni mvumilivu nenda jera miaka 5.Utakuta kaolewa na mwingine. Ajue umefilisika,ana kimbiaa speed za ajabu Kwa mwanaume Mwingine.Mwanamke kama alichukuliwa akiwa Hana kitu akifunguliwa biashara na biashara ikasitawi ndo utaona picha yake halisi, Huo uvumilivu au kusoma ramani inaendaje?
yaani binadamu wote tuna madhaifu ila nakwambia tu ukweli,,,bila chenga,,,mwanamke akikupenda atakuvumilia sana tu

hata upite kwenye magumu yapi atabaki tu kuwa na wewe
 
yaani binadamu wote tuna madhaifu ila nakwambia tu ukweli,,,bila chenga,,,mwanamke akikupenda atakuvumilia sana tu

hata upite kwenye magumu yapi atabaki tu kuwa na wewe
Ni kweli kabisa.

Kinacho wafelisha ni kuishi Kwa mashindano na wanawake wenzenu.
Hicho ndo chanzo kikubwa wa Yote mabaya Kwa % kubwa.
 
Ni kweli kabisa.

Kinacho wafelisha ni kuishi Kwa mashindano na wanawake wenzenu.
Hicho ndo chanzo kikubwa wa Yote mabaya Kwa % kubwa.
Naafiki, na ukikutana na mwanamke mwenye mashindano anza kuandaa kaburi lako

tujipe tu pole maana moyo ukipenda unajisahau sana
 
Naafiki, na ukikutana na mwanamke mwenye mashindano anza kuandaa kaburi lako

tujipe tu pole maana moyo ukipenda unajisahau sana
Mashindano ndo nature yenu.

Kwasababu wanawake Kwa wanawake hampendani!!
 
Mashindano ndo nature yenu.

Kwasababu wanawake Kwa wanawake hampendani!!
hatupendani ila ukimpata mwenye akili mashindano sio type yake

yaani ukitaka kufa mapema chukua mwanamke mwenye kutaka mashindano
 
hatupendani ila ukimpata mwenye akili mashindano sio type yake

yaani ukitaka kufa mapema chukua mwanamke mwenye kutaka mashindano
Wanakuwa na alama gani? Hao wenye mashindano.Maana Kwa asilimia kubwa wanawake ni watu wa mashindano dhidi ya wanawake wenzio.Utawajuaje?
 
Nyooolooo siwezi maisha ni mafupi, hela hata uzibanie elfu 50 haiwezi kununua gari.

Mwezi wa 11 nilikuwa naenda nyumbani kijijini nikafika mjini gari za nyumbani zimeisha nikasema siendi kwa shangazi staki jam afu mbali na stend.

Nikawauliza washikaji zangu hotel nzuri wakanambia kuna lodge za 20 nzuri nikasema nataka hotel. Nikawaza hivi hotel nzuri lazima nilale nikiwa nimetoka na mwanaume?

Nikaingia Google map location hapo nilipo simama stend hotel zote nikawa nikaziona.na hiyo hotel walonambia ikiwemo. Chap naita tax wakasema sister iko karibu tukubebee mabegi, chap tukafika dah mazingira safi , wakasema sh 50, 000 sikutaka hata longolongo wakanionesha room.

Sasa wale washikaji walonisindikiza wakauliza nina shemeji.? Yaan hawaamini nalala pale mwenyewe.. kuingia mule chumba kina kila kitu cha muhimu. Nikaoga maji safi msosi nikaletewa, nililala kama beibi mashuka makali duvet coton ile ya kiwango ,achana na zile za kariakoo za elfu 30 dah, dah sikujutia hela yangu

Asubuhi naamshwa chai ya nguvu na supu ya kuku dah.

Saa 3 asubuhi wale washikaji zangu , ni wa kitambo tangu nasomaga sekondari wakogo hapo stend wakaijia mabegi yangu nikawapiga breakfast ya maana nkaenda zangu kijijini kujilia ndizi.
Wasalimie bukobaa
 
Wanakuwa na alama gani? Hao wenye mashindano.Maana Kwa asilimia kubwa wanawake ni watu wa mashindano dhidi ya wanawake wenzio.Utawajuaje?
sawa sawa kabisa , swali zuri,,,kila kitu kwenye maisha kipe muda,,,mchunguze then utamjua tu
 
sawa sawa kabisa , swali zuri,,,kila kitu kwenye maisha kipe muda,,,mchunguze then utamjua tu
Ku pretend kwingi ndo shida na muda unaenda Kasi huwezi kuchunguza Kwa miaka mitano Eti unachunguza tu
 
Ku pretend kwingi ndo shida na muda unaenda Kasi huwezi kuchunguza Kwa miaka mitano Eti unachunguza tu
yaani kama uko matured enough utamgundua anayepretend kwa kweli

ila kama bado akili haijatulia ni ngumu kumtambua. Mimi naweza
 
yaani kama uko matured enough utamgundua anayepretend kwa kweli

ila kama bado akili haijatulia ni ngumu kumtambua. Mimi naweza
Kumjua utamjua,lakini siyo Kwa siku mbili au tatu.
 
Back
Top Bottom