Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Tena huku kwenye kupanga ndio anazeeka vibaya maana wengi huwa wanakuwa na mahusiano ya watu wengi ili walipiwe bili so uaminifu ni zero na hakuna mwanaume anapenda mwanamke mwizi mwizi wa mahusiano.Kwani mwanamke akipanga chumba na akachelewa kuolewa kwani hazeekei hapo alipo panga chumba?