Kwanini wanawake mnakimbilia kupanga mkipata kazi?

Kwanini wanawake mnakimbilia kupanga mkipata kazi?

Habari ya maandilizi ya sikukuu,

Kuna hii tabia ya mabinti tena wadogo kwenye early 20s wakipata tu vikazi hata iwe saluni au mgahawani wanakimbilia kupanga ili wajitegemee.

Kusema kweli hii imekuwa kero kwa sie hasa wa maofisini, hawa mabinti wanaojitegemea ni kama wanageuka omba omba, hapa nazungumzia hawa wanaofanya usafi walioajiriwa kwenye kampuni za usafi, kuna wanaouza matunda na juisi maofisini wengine wanatembeza korosho na soksi, siongelei wote ila wengi wao ni kama wanajiuza au kuishia kuomba omba maofisini kwa sisi wafanyakazi wa kiume.

Ukimuomba namba leo kesho hana kodi na sio kwamba wanatania ni kweli unaona kabisa meseji za mwenye nyumba na missed calls kibao. Hasa unajiuliza why ulikimbilia kupanga kazi yenyewe ya laki 2.

Kwanini usibakie na wazazi au ndugu kama ulivyoishi kabla ya kuajiriwa? Wengi Wanaangukia kujiuza au kuwa omba omba maofisini.

Kwanini mnakimbilia kujitegemea?
Kuna Binti mkoa wa waTalii, Wilaya ya kupokea waTalii kibao, alikua anafanya kazi ya mshahara wa laki mbili na themanini elfu kwa mwezi, Kodi ya nyumba kwa mwezi analipa laki na ishirini, na ana vitu ndani kama ni mwenye kipato kizuri, yaani kiufupi kwa sasa biashara za kujiuza ziko ktk mbinu nyingi sana, vyumba vya kupanga, barbershops n.k

Mwingine niliishi nae nyumba moja, ya kupanga nikiwa eneo la kazi mkoa B, yule Binti kwa wiki nilikua naona wanaume kama wanne Kwa nyakati tofauti tofauti na wanalala hapo hapo kwake, anapanga muda na hawajawahi kukutana, ajabu Binti huyo kila alfajiri ya jpili anaamkiaga kanisani.

Kumuacha mtoto wa kike aondoke nyumbani kwenda kujitegemea before hajaolewa, nakwambia anaenda kua Malaya na omba omba wa hatari.
 
Kwa Mshahara wa laki mbili kama uko karibu na eneo lako la kazi tena kama Mbagala ambako maisha yako chini inatosha labda tamaa zikuzidie na wengi hapa ndo hiponzwa
Na tamaa ndio zinatuponza wengi. Both me & ke
Hata hao wa mshahara mkubwa nao wana tamaa ndio maana wengine wanakwiba mali za umma/ ofisi.

Ni ngumu sana kama kuna mwanya wa udokozi na mtu akaacha bila kudokoa 😂
 
Na tamaa ndio zinatuponza wengi. Both me & ke
Hata hao wa mshahara mkubwa nao wana tamaa ndio maana wengine wanakwiba mali za umma/ ofisi.

Ni ngumu sana kama kuna mwanya wa udokozi na mtu akaacha bila kudokoa 😂
Hela haijawai kutosha yani kuna mwengine unaeza kuta analalamika afu ana mshahara 1M kikubwa ni nidhamu yako ya matumizi tu
 
Yaani utadhani hawana wazazi au ndugu...huwa nawahuruamia sana ki ukweli maana ni sawa na mbuzi katka kundi la fisi!!na vile shida hazina adabu wengi wamekua "msosi"wa vijana wa mjini a.k.a wazee wa HIT&RUN!....TOO SAD
 
na wewe pia

Ndio maana unawasingizia watoto wa watu wenye income za laki 2. Pasipo kuelewa mambo ya ngozi hayaangalii ni una hela au huna. Kama ngozi ni chachu itabaki kuwa chachu tu. Mf mdogo angalia humo kazini kwenu
Vayolensiiiii
 
Binti kama hana kipato cha uhakika hata kama ana tabia njema ni razima ataharibika tu na kuwa kahaba.
Wewe kama mzazi unawajibikaje kipindi hicho binti yetu anapitia changamoto ya namna hiyo?!

Acheni ubahili toeni pesa kwa watoto muepushe majanga dhidi yao yanayosababishwa na wazazi wenzetu wazembe na wajinga ambao hata humu wapo
 
Unamjua Mkuu watu wana genaralized mambo hawajui Hali halisi za Watz hasa wakiwa mijini Kama Daslama mtu Ndugu anao yes lakini wapo hoi hata Sehemu ya kulala Hakuna achilia Mbali chakula

Demu/ Mwanamke kuamua kupanga ni startup nzuri ya kujitafta swala kuangukia Katika umalaya ni pale tu kukosa MAARIFA sahihi ya kujiendesha . Na tabia binafsi za mtu.
Umalaya mdogo mdogo tunaouona maofisini unachangiww na dhiki sio uhuni
 
Mimi
..nilipanga kwasababu.kaka yangu alinifukuza kwake
Wewe unataka kuhalalisha uongo wako kuwa ukweli, yaani akuambie tu ondoka kwangu kwa sababu ya makosa madogomadogo hapana, kwanza unarudishwa kijijini kwenu Moshi Arusha ili akawaeleze wazazi sababu ya kukurudisha nyumbani, au ulikimbia nyumbani mwenyewe kwa sababu unazozijua wewe.
 
Utaondoka ukiolewa
Na ukichelewa kuolewa unazeekea hapo
[emoji23][emoji1787]
Kwani mwanamke akipanga chumba na akachelewa kuolewa kwani hazeekei hapo alipo panga chumba?
 
Haya ndio matokeo ya motivational speaker kuwaambia "Girl child" anything a man can do you can also do.

Unajua mambo mengi yanayotokea kwenye jamii yetu ni matokeo ya mifumo ya maisha tunayoishi na vitu tunavyofanya kilasiku. Sio kwamba hivi vitu vinatokea ghafla ghafla tu bin Vuup.

Hawa mabinti wengi mentality zao zinawaambia kuwa watoke nyumbani, wakapambane kutafuta maisha kama vile Vijana wanavyopambana kutafuta maisha, wanunue viwanja, wajenge nyumba, wafungue biashara wawe MaCEO.

But in real life hizo ni ndoto za alinacha. Kwenye uhalisia vita sio rahisi kihivyo. Muda huu unaowekeza kutafuta maisha kuna kitu una sacrifice, unasacrife kuwa mwanamke ili uishi kama mwanaume. Ndio maana wengi wanakuja jistukia ana miaka 30,hana mtoto hata m'moja au anaye ila hawaishi pamoja na baba mtoto.

Kuna kitu kama jamii ni vema tukajitazama upya ili mambo haya yasijekututokea puani. Tunawaharibia vijana na mabinti wengi future zao sababu ya kuwapa motivation zisizoendana na uhalisia wa mazingira huku nje.

Unakuta binti anakaa maisha ya kigetogeto anakula kwa shida na akila vizuri basi ni amenunuliwa na wanaume. Usichana na ubinti unawapita na unaisha wakiwa wapambana na maisha ya ndoto ambazo hata wao ukiwauliza walipata wapi idea ya hizo ndoto hawaelewi ni influence ya mitandaoni na media.

Tubadilike.
 
Back
Top Bottom