Kwanini wanawake mnakimbilia kupanga mkipata kazi?

Kwanini wanawake mnakimbilia kupanga mkipata kazi?

Hao sina experience. Maana mie naingia saloon za kiume 💇‍♀️
Oya hii naipendaga Sana kuna Jamaa yangu yeye nilisoma naye chuo by that time alikuwa in-service Mwalimu wa primary Sasa yeye na mke wake wote walikuwa wananyoa , saloon moja kila mishahara ikisoma

Nguo wanashona sare

Raba sare yaani nilikuwa napenda Sana lifestyle Yao
 
Sio uzinzi uhuru upo wa mambo mengi, kuna mambo huwezi kuyafanya ukiwa nyumbani.
Kama yapi mkuu? Mm nitamrusu binti yangu kupanga iwapo atakuwa amepata kazi nzuri na yenye mshahara mzuri mbali na nyumbani kwangu, tofauti na hapo haondoki nyumbani na akirazimisha kuondoka akatufute baba yake mwingine.
 
Yaan acha tu ni omba omba balaa ukilala nae anataka umpe hata 25k hapo ni demu wako mara anadaiwa kodi mara hajala aisee umuhimu wa kuoa upo so kwa vizinga ivi.
 
Habari ya maandilizi ya sikukuu,

Kuna hii tabia ya mabinti tena wadogo kwenye early 20s wakipata tu vikazi hata iwe saluni au mgahawani wanakimbilia kupanga ili wajitegemee.

Kusema kweli hii imekuwa kero kwa sie hasa wa maofisini, hawa mabinti wanaojitegemea ni kama wanageuka omba omba, hapa nazungumzia hawa wanaofanya usafi walioajiriwa kwenye kampuni za usafi, kuna wanaouza matunda na juisi maofisini wengine wanatembeza korosho na soksi, siongelei wote ila wengi wao ni kama wanajiuza au kuishia kuomba omba maofisini kwa sisi wafanyakazi wa kiume.

Ukimuomba namba leo kesho hana kodi na sio kwamba wanatania ni kweli unaona kabisa meseji za mwenye nyumba na missed calls kibao. Hasa unajiuliza why ulikimbilia kupanga kazi yenyewe ya laki 2.

Kwanini usibakie na wazazi au ndugu kama ulivyoishi kabla ya kuajiriwa? Wengi Wanaangukia kujiuza au kuwa omba omba maofisini.

Kwanini mnakimbilia kujitegemea?
Hayo ni matokeo ya moja kati ya haya:

Mimba zisizo tarajiwa. Mwanamke anashika mimba bila malengo. Mwanaume haeleweki mwisho wa siku anamlea mtoto peke yake. Mtoto wa kike akimaliza ka saba anakua lose tu. Nyumbani kupokupo tu haelewi kesho itakuaje na labda hata mama yake anamtaka alete chochote home. Mwisho wa siku anajiona nae bora akayaanzishe yake tu anaondoka na kwendq kupanga. Mtoto wa kike alie lelewa vyema hawezi kutoka home akiwa kwenye early 20s otherwise amepata kazi ya kueleweka mbali na home.

Mbili ni matokeo ya mwanamke anaweza. Ongeza nyama mwenyewe
 
Mkuu mwanamke kaumbwa asuke

Na hamnaga anaesuka akawa mbaya inategemea na msuko na msusi mwenyewe
Unasema kwamba wanawake wote wakisuka wanapendeza? Ila umeshakiri hapo chini kwamba inategemea na msuko that means kusuka haifanyi mwanamke apendeze

Kuna vituko tunakutana navyo barabarani huko unabaki unacheka tu
 
Unasema kwamba wanawake wote wakisuka wanapendeza? Ila umeshakiri hapo chini kwamba inategemea na msuko that means kusuka haifanyi mwanamke apendeze

Kuna vituko tunakutana navyo barabarani huko unabaki unacheka tu
Aah tatizo unawalinganisha na kina Priyanka Chopra, na kina kim kadashan unategemea nini

Akisimama at her own lane she is beautiful 😘
 
Aah tatizo unawalinganisha na kina Priyanka Chopra, na kina kim kadashan unategemea nini

Akisimama at her own lane she is beautiful 😘
Kusuka asuke nywele Asili sio haya makatani kichwani nywele fake

Binafsi Binadamu haitaji kuedit Mwili Bali anabidi kuedit Akili

Mtu unasuka nywele bandia mara katani hii inaonesha waafrika Ni watu wajinga.
 
Unamjua Mkuu watu wana genaralized mambo hawajui Hali halisi za Watz hasa wakiwa mijini Kama Daslama mtu Ndugu anao yes lakini wapo hoi hata Sehemu ya kulala Hakuna achilia Mbali chakula

Demu/ Mwanamke kuamua kupanga ni startup nzuri ya kujitafta swala kuangukia Katika umalaya ni pale tu kukosa MAARIFA sahihi ya kujiendesha . Na tabia binafsi za mtu.
Kwenye tabia hapo hapana,wengi wanakuja mjini wakiwa na tabia nzuri tu,wakishapanga maisha yanawapiga na wanaishia kwenye umalaya.
 
Back
Top Bottom