Kwanini wanawake mnakimbilia kupanga mkipata kazi?

Kwanini wanawake mnakimbilia kupanga mkipata kazi?

Nilichotaka mm ni kuwasilisha tu Uhalisia content yangu Wala sio ngozi ya mtu.. Ila we Inawezekana una ngozi ngumu mno maana hata sura hyo utaki tuione hapo kwa Avatar 😃😃
Avatar ina space ndogo. Ndio maana pic ilijikata. Hayo mengine endelea nayo mwenyewe.
 
Back
Top Bottom