Kipunga
JF-Expert Member
- Mar 8, 2021
- 264
- 590
Leo nawauliza wanawake kwanini mnapenda wanaume wenye ushawishi pesa/magari?
Mimi ni kijana lakini hua nakataliwa sana na mabinti hadi nikawa nahisi nimerogwa sasa siku moja kaka yangu akaja Mwanza na gari lake aina ya crown nyeusi akapata dharula ya kwnda nchi jirani ikabidi gari aliache na funguo akanikabidhi.
Aiseeee huezi amini nakula wotot wa watu/dada za watu balaa hadi walio nikataaga hadi wengine nawachunia wanaume tutufte pesa gari ni mtego wa wanawake.sasa ndio nawauliza wanawake kwanin mnapenda vitu sio mtu?
Mimi ni kijana lakini hua nakataliwa sana na mabinti hadi nikawa nahisi nimerogwa sasa siku moja kaka yangu akaja Mwanza na gari lake aina ya crown nyeusi akapata dharula ya kwnda nchi jirani ikabidi gari aliache na funguo akanikabidhi.
Aiseeee huezi amini nakula wotot wa watu/dada za watu balaa hadi walio nikataaga hadi wengine nawachunia wanaume tutufte pesa gari ni mtego wa wanawake.sasa ndio nawauliza wanawake kwanin mnapenda vitu sio mtu?