Great thinker waliobak hum jf nd Kam hawWanaume tusio na pesa wala magari na fahari nyingine za dunia, tutengewe kanchi ketu tuishi huko, tuone kama hawatakuja kuchungulia. Mwanamke bana anataka vyote hata ambavyo hajawahi kuona wala kusikia...
Katika yotee uliyoandika HILI NDILO NENO KUUU..............wanaume tutufte pesa gari ni mtego wa wanawake.......
Hata Mimi hiyo statement imenigusa na nimeielewaKuna jamaa kasema kitu kimoja kwenye uzi fulani nimemuelewa sana.
Maisha ya siku hizi watu hawana zile natural feelings sababu mwanamke automatically anatakiwa ataman laba harufu,kifua,mwili,ndevu,sauti vya mwanaume ila nowadays ni tofauti ukishakua na pesa basiii
Eh kichagaaWew iyo kiruuu ni kiruga au π