Kwanini wanawake ni wabinafsi na wachoyo?

Hatari Sana,Ni mambo ya kubang tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hatuna stress
Kama mda huu ningekuwa busy kweli naogesha mtoto wa ma mkwe na kumlisha chai ila sasa nimejilalia zangu nimeangalia juu ya neti nachat kwa raha zangu
 
Hakika, watu wamechoka, ni upuuzi kukaa na li jitu linakipato na hicho kipato haukioni. Kwanini tuendelee kukaa kwenye set up ya kipumbavu kama hiyo?
Njoo uoe kwetu. Huku wanaume wanatunzwa na mali za wake zao
 
issue siyo kutoa ni kuwa responsible, mbona kwenye vicoba mnatoa? Hizo hela zenu izna pile up tu bank au mnatumia? Sasa kwanini usitumie na familia, huo ni ubinafsi
Kuna kitu kiko mahala hamjakinotice ingawa kinajulikana. Tukirudi Mwanzoni kabisa Baada ya Anguko la Mwanadamu pale Edeni. Mungu aliyewaumba alipoanza kutoa uamuzi akamwambia wewe mwanamke" nitazidisha uchungu wako wa kuzaa, ( hilo limeanza kufutwa, pia Tamaa ya Mwanamke itakuwa juu ya mwanaume na yeye mwanaume atamtawala)

hapa ndio wapinduaji wakapindua kabisaaa. Kwamba tamaa ya mwanaume iwe kwa mwanamke kisha saa hii tunaelekea part 2 nae atamtawala huyo mwanaume. [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23]

Kwanini usumbue kichwa chako? Ilitakiwa kwa Amri ya Muumba kwamba mwanamke awe na tamaa kwako kuliko fisi. Lakin vijana haswa wa kuanzia 90s wameoshwa bongo kwamba wao wanastahili kumsifia huyo mwanamke, kumtamani sana, na kutumia gharama yoyote. Hapo ndio mistake.

But the huge fault is still to come and appear. [emoji4]
 
Niko poa mamii, nataka mutumie akili zenu kuanzia asubuhi mpaka jioni
Unatuingizia jambo jipya
Kama hela ipo tutachangia ila sio hadi muandamane. Hata nyie walipowalazimisha ishu za gender equality mliona Kama mnafokewa...
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hatuna stress
Kama mda huu ningekuwa busy kweli naogesha mtoto wa ma mkwe na kumlisha chai ila sasa nimejilalia zangu nimeangalia juu ya neti nachat kwa raha zangu
🀣🀣🀣🀣🀣Mitoto yenyewe ya mama mkwe shukrani zero...wanataka tuwaogeshe,tuwafulie,tuwapikie,tuwakatie,na bado TUKAWATAFUTIE MAISHA πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„tuchat tu shogaaangu
 
Too bad jamaa alitumika, ila hii situation hamna ambaye haijawahi mkuta even myself. Tumepitia changamoto just to get to where we are. Theres a point unakuwa na soft feelings juu ya wanawake but kuna suprises ukipigwa nazo zinakujenga not to repeat being fooled anymore.

Nina hakika they were signs jamaa hakuweza kuzi note sababu alikuwa deep in love but mwanamke ambaye hakupendi kiukweli toka mapema unamjua tu unless kama hu apply akili.
 
🀣🀣🀣🀣🀣Mitoto yenyewe ya mama mkwe shukrani zero...wanataka tuwaogeshe,tuwafulie,tuwapikie,tuwakatie,na bado TUKAWATAFUTIE MAISHA πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„tuchat tu shogaaangu
Woiiiiiiiih
Kwa raha zetuuu
Huku unaugulia miguu cha asubuhi huku unamuandaa mtu awahi job bado unaonekana huna unachofanya.

Tuchat kwakweliiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Haaaahaaa hao wanawake wa kufulia na kupikia waume zao chakula, wako wapi siku hizi..Sahivi ukiwa na girlfriend Na akakupikia msosi shukuru Mungu Joannah
 
Wanajipodoa,wanataka kulipiwa Kodi,wanataka wanawake tuwape pocket money unadhani kwa Nini wasipinduliwe kwenye nafasi zao?
 
🀣🀣🀣🀣🀣Mitoto yenyewe ya mama mkwe shukrani zero...wanataka tuwaogeshe,tuwafulie,tuwapikie,tuwakatie,na bado TUKAWATAFUTIE MAISHA πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„tuchat tu shogaaangu
Sisi kama kina Junior ndio tumekuwa wakubwa sasa πŸ˜€ kwani mmesahau kuwa kina Junior tuliishije utotoni?
 
Naunga mkono hoja kwa 100%
 
Wapi nimepinga uanaume ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…