Kwanini wanawake ni wabinafsi na wachoyo?

Kwanini wanawake ni wabinafsi na wachoyo?

Mwanaume akipata Pesa anawaza Family yake ila Mwanamke akipata Pesa anawaza Sasa anaweza kuwa Single.

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Ungeandika kwa uwazi zaidi, ungesema Mwanamke akipata Pesa anawaza sasa anaweza kuwa single ili afanye umalaya wale kwa uhuru. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vijana mnateseka sana na ndoa. Mnaoa vitoto bikira havina hata akili ya kuwahi kuamka vifanye usafi wa chumba mlicholala. Vinawaza tu kuchati na kwenda kula migahawani.

Tuliooa ma single mother tuna raha zetu. Kabla hujaamka utasikia,, vipi baba neema mbona leo unalala sana, au unaumwa! Maji yanapoa bafuni.

Hapo alishamaliza kudeki na kuosha vyombo, chai iko mezani na nguo ya kuvaa alishakuandalia.

Tatizo siyo mwanamke, tatizo ni aina ya mwanamke uliyemwoa. Mnaagalia wenye misambwanda mikubwa na sura laini. Kumbe kuna watu wanatunza. Akija kwako mnaanza kushindana.

Zingatia uchaguzi sahihi wa mwanamke ili uwe na amani katika ndoa.
Hizi ni story za kjifariji. Ila ukweli ni kwamba kwa sasa hali ni mbaya watoto wa kike hawajitambui kama wanawake kwenye jamii. Wanatumia title "WANAWAKE" ili tu kupata maslahi ya mwanamke ila spiritually si wanawake by traits /character.

Sasa wewe unakuja kujisifu umeoa au unaishi na single mother, hivi wewe ni mzima kweli?

Yaani mtu ameshapigwa upumbu na akaona haitoshi akapewa na mimba kabisa then wewe unakuja chukua unaweka ndani unaita mke wangu , huyo ni mke wako au ni mke wenu wewe na majamaa waliomt*mba awali yako?!

Ifike muda haya mawazo ya kivulana muwe mnakaa nayo tu msiyalete kwenye mjadala ya kiumeni humu ambapo tunajadili misingi ya mwanaume kitabia.
 
".......mnacontribute kipato equally........", hawazidi watatu ktk 1000 ndio wanaofanya hivyo na ktk hao watatu wawili,huwaga wanakumbushia hela wanazotoa kipindi akigombana na mwenza wake.
Kama tutacontribute kipato
Basi hata kazi nyingine tutasaidiana hivyohivyo.
 
Usije ukamthamini mwanamke hata siku moja, ishi naye mguu mmoja nje.

Unaweza kumhudumia miaka 10 ukaja kufanya kosa moja kubwa akakacha, hawakumbuki fadhila
Kiumbe anaye ishi kqa kutegemea hisia ni kiumbe dhaifu kupita maelezo maana anategemea hisia kufanya maamuzi.

Hisia ni kama Moshi huwa zinakuja kwa nguvu na kupotea kwa kasi kubwa. Ni ujinga kuamini akili ya mtu anayetegemea hisia kufanya maamuzi.
 
Yupo rafiki yangu alikuwa na gf wake toka 2014, icho kipindi huyo dada alikuwa anasoma,

Wameenda, huyo dada kamaliza chuo maswala ya afya bahati mbaya kakutana na upepo wa kukosa ajira sasa ikabidi jamaa ampambanie apate kibarua private

Hapo wanaishi kwa msela, msela anamlea kama mtoto wake vile.

Baada ya kupata kazi akamchana msela kuwa hajawahi kumsaidia chochote na akamtema.

Hivyo ndivyo wanawake walivyo.
Na yeye ameyataka imekuwaje anamuamini mwanamke kiasi hicho?
 
Kama tutacontribute kipato
Basi hata kazi nyingine tutasaidiana hivyohivyo.
Wangapi mnaocontribute......?

Nature ya mwanamke ni mbinafsi mpo hivyo najua mtakataa na ukiona mwanaume anaishi vizuri na mke wake ambaye anafanya kazi, jua kabisa hana time na hela ya mkewe na ndio maana nyumba ina amani.

Hela ya mwanamke inaambatana na manyanyaso,kashfa na mwanaume akifanya masihala kunasiku atatukanwa mbele ya kadamnasi ya watu kisa hela ya mwanamke. Hela yenu haijawahi kuwa tamu na haitokuja kuwa tamu kwa mwanamme.
 
Wangapi mnaocontribute......?

Nature ya mwanamke ni mbinafsi mpo hivyo najua mtakataa na ukiona mwanaume anaishi vizuri na mke wake ambaye anafanya kazi, jua kabisa hana time na hela ya mkewe na ndio maana nyumba ina amani.

Hela ya mwanamke inaambatana na manyanyaso,kashfa na mwanaume akifanya masihala kunasiku atatukanwa mbele ya kadamnasi ya watu kisa hela ya mwanamke. Hela yenu haijawahi kuwa tamu na haitokujakuwa tamu kwa mwanamme.
Ukweli mtupu. Hela yao wala sio tamu.
Nashangaa wanajihangaisha maofisi bure bure tuu baadala ya kukaa nyumbani tuwagege na walee watoto
 
Je kwa kuponda wanawake na kutengeneza defence mechanism tunatatua tatizo?

You can opt to be a fuckboy n.k lakn at sm point in life u gotta settle down. Sasa ukiwa messed up psychologically hii inakua tatizo pia.

Je, what if tukianza mapema kabisa kutengeneza mifumo ndani ya mahusiano ambayo itafuatwa muda wote na wenza wetu? Je hyo sio njia nzuri?

(Angalizo, wanaume wote ni wahanga. No one yuko salama)
Nadhani hili unalolisema wanaume tumeshalijaribu mara kadha wa kadha yaani hadi tumefika hatua tumekatia tamaa tumeona isiwe shida tena.

Wanaume wanajitahidi sana kujaribu kuwajenga wanawake kimaadili ila ni wanawake ndio ambao hawapo tayari kubadilika na hizi fujo zinazoendelea ni matokeo ya maamuzi binafsi ya wanawake kujiamulia kuishi kiholela nje ya maadili na wakiambiwa hawasikilizi wala hawataki kuelewa.

Hebu jiulize, kuna topic ngapi zinazohusu masingle mother, udangaji,umalaya,uchepukaji na kadhalika hapa JF hiyo yote ni jitihada ya kukemea upotofu wa maadili inayofanywa na wanaume kuwasaidia mabinti ambao hawajaharibika kuingia kundi hilo la walioharibika.

Nje ya kufanya jitihada zote hizi lakini bado wanawake si wasikivu na cha zaidi huwa wanakuja kutetea ujinga kama sio kusapoti mambo ya kipumbavu ya wanawake wenzao.

So tumefikia hatua tumeona ngoja tusiwafundishe ili mbakie na ujuaji wenu mpambane na mother nature na shangazi Karma.
 
Kiumbe anaye ishi kqa kutegemea hisia ni kiumbe dhaifu kupita maelezo maana anategemea hisia kufanya maamuzi.

Hisia ni kama Moshi huwa zinakuja kwa nguvu na kupotea kwa kasi kubwa. Ni ujinga kuamini akili ya mtu anayetegemea hisia kufanya maamuzi.
Ndo tulivyoumbwa, tunajifunza baada ya kuanguka
 
Vijana mnateseka sana na ndoa. Mnaoa vitoto bikira havina hata akili ya kuwahi kuamka vifanye usafi wa chumba mlicholala. Vinawaza tu kuchati na kwenda kula migahawani.

Tuliooa ma single mother tuna raha zetu. Kabla hujaamka utasikia,, vipi baba neema mbona leo unalala sana, au unaumwa! Maji yanapoa bafuni.

Hapo alishamaliza kudeki na kuosha vyombo, chai iko mezani na nguo ya kuvaa alishakuandalia.

Tatizo siyo mwanamke, tatizo ni aina ya mwanamke uliyemwoa. Mnaagalia wenye misambwanda mikubwa na sura laini. Kumbe kuna watu wanatunza. Akija kwako mnaanza kushindana.

Zingatia uchaguzi sahihi wa mwanamke ili uwe na amani katika ndoa.
Ongeza single mothers mwingine umpandishe cheo mama Neema maana huku mtaani camping yetu inaendelea

KATAA NDOA

NDOA NI UTAPELI

NDOA NI KITEGA UCHUMI KWA MWANAMKE
 
Wanawake hawasahau kwao,pesa yao wako radhi kutumia na ndugu zao( baba,kaka dada na mama zao wa kuwazaa) kuliko kuitumia Kwa watoto waliowazaa.

Wanaweza hata kukopa pesa Ili kutimiza mahitaji ya ndugu zao,ila KATU hawawezi kukopa fedha Ili kusaidia kulipa school fees ya watoto aliozaa
Wa namna hii hata sipotezi muda namuachia kama kaa la moto.
 
Sawa naelewa hili. Lakoni tumeangalia impact ya hiyo experience.
Kwa mfano wewe uwe mzazi wa mwanao, i think experiences zako zingetumika vyema zaidi katika kujitahidi kumuonyesha mwanao jinsi ya kuepuka kupatana na experience ngumu kama zako.
Vivyo hivyo, ukiangalia the sharing ya experience kwa hawa vijana wanaochipukia sidhani kama ni positive. Mostly imefocus kwenye kuwaonyesha ubaya wa ndoa na wanawake kwa ujumla and at the same time tunahangaika kuwaaminisha kua ni vyema wawe vitombi zaidi..
Tunasahau pia sisi wanaume tutazaa mabinti ambao they have to deal with these same toxic men (ambao tumewatengeneza wenyewe through experiences zetu). So presha inakua mara mbili maana sidhan kama kuna mtu anataka mwanae wa kike ateseke.
TUnaziba tundu la panya kwa mkate. Very hopeless.
Toxic males ni zao la Toxic single mothers wenye mentality za mafeminists.
 
Wangapi mnaocontribute......?

Nature ya mwanamke ni mbinafsi mpo hivyo najua mtakataa na ukiona mwanaume anaishi vizuri na mke wake ambaye anafanya kazi, jua kabisa hana time na hela ya mkewe na ndio maana nyumba ina amani.

Hela ya mwanamke inaambatana na manyanyaso,kashfa na mwanaume akifanya masihala kunasiku atatukanwa mbele ya kadamnasi ya watu kisa hela ya mwanamke. Hela yenu haijawahi kuwa tamu na haitokuja kuwa tamu kwa mwanamme.
Wengi tu tunacontribute
Japo si equally,kwa sababu ya tofauti zetu kimapato
Lakini hata tukiongoza kimapato tutacontribute zaidi

Ila pia lazima na mwanaume achangie kwenye majukumu ya nyumbani,
Hata kama si sawa kwa sawa,
Mchango wake uonekane.

Mwanaume anayekaa kama mlemavu asiyeweza kufanya kazi hapana kwa kweli.
 
Wanaume wengi suruali, wanataka mtelezo kwa wanawake, mama zetu zamani walipata raha kweli kwenye ndoa, walivaa miwax bila malalamiko sio wanaume wa leo best, mara kataa ndoa, wanawake wa choyo, wakati mama yangu alisugua gaga nyumbani na kwao kajenga.
Tatizo maisha yamebadilika. Miaka ya nyuma kazi zinasubiria wanaume waanze kujitegemea wakaajiriwe na kuanza majukumu na kupata kipato walee familia.

Ila kwa sasa hali ni tofauti, kizazi cha wanawake wenye kiherehere wanataka kufanya kila kitu mwanaume anafanya sasa hapo ndipo wanaume tunakaa pembeni ili tuone sasa viherehere vitawapeleka wapi.

Kwa mfano mdogo mwanaume mkute mkeo nyumbani halafu anza kumuingilia majukumu yake, mara chota maji, pika, bembeleza mtoto, muogeshe mtoto, na mengineyo utaona namna atavyokereka na kukususia kila kitu.

So hii wanawake kuanza kulazimisha kuingilia majukumu ndio imezaa wanaume wanaosusia majukumu yao maana wanaona tunakutana na wanawake wajuaji kupita maelezo.
 
Sawa.. nakubali.
But if sisi kama wanaume we are so perfect,
Kwanin tusibadilike?
Mi nna wazo, instead ya kila siku kukomaa kukataa ndoa na kuwaponda wanawake,
Kwanini sasa tusigeuze gia na kuanza kuwaelekeza hawa hawa wanawake jinsi ya kuishi na sisi?
Maana smtyms tunawalaumu lakini yaweza kua either hawajui what we want, au pia sisi wenyewe tumekua reason ya haya yote.
Kila stori ina pande mbili
Kuna kipindi nilikuwa kama wewe. Natetea nisichokijua nikidhani nasaidia kumbe hakuna ninalojua hata chembe.

Unahitaji kuwaelewa wanawake vizuri ili kuwajadili au kuwaelezea. Kwa namna umeongea inaelekea wanawake hauwafahamu hata kidogo yaani kwa maneno mengine unahisi sisi hapa tunawalaumu na kuwangizia na kila tunalolisema ni kuwaonea na hatutakiwi kuwasema bali kuwaelekeza.

Mwanamke unaweza kaa nae chini na kumuelekeza A to Z juu ya namna bora ya kuheshimu mahusiano na kuishi katika Ndoa tena ukarudia kila siku. Ila akatokea mzinifu m'moja akampa faida moja tu ya kudanga na akasahau mazuri yote uliyomfundisha akafuata upumbavu na akapotea. Then akisha haribu anakurudia akiomba msamaha na kuomba umsikilize.
 
Comment kama hizi ndizo huwa zinatoa majibu kuwa kwenye jamii kuna tatizo la wanawake wasio kuwa na hekima.

Ukiona mtu anakuletea mjadala mezani na anaongelea kwa ujumla then its better ukatazama kwa jicho la tatu na kichagua kujifunza badala ya kuleta hoja kinzani au kubishana kwa maana mtu mbishi huwa mara nyingi anakosa fursa za kujifunza sababu ya kuamini yeye yupo sahihi kuliko upande wa pili.

Sasa kama wewe hapa ni wazi kwa hii kauli yako unadai wanaume ndio tatizo sababu wanashindwa kuishi na wanawake kwa akili. Sasa nikuulize ina maana mamilioni ya wanaume wa hii dunia kwa wingi wao wanavyolalamikia wanawake ina maana wote hawa hawana akili ya kuishi na mwanamke yaani ghafla tu tokea kizazi hiki cha wanawake kilichozaliwa miaka ya 80 mwishoni kuwa changamoto imekuwa ni kwasababu wanaume hawawezi kuishi nao kwa akili?

Hebu tumia fursa hii kutuelimisha, kwa hoja hata tano, ni aina gani ya akili inayotumika ili kuishi na mwanamke?

Akili ambayo tunatakiwa kuwa nayo sisi wanaume ila sisi wenyewe hatuijui ila ninyi wanawake ndio mnaifahamu vema hebu tuelimishe tupate kufahamu.
Mkuu huyo amepigwa za uso, ndiyo hao hao uzi unaowagusa
 
Back
Top Bottom