Kwanini wanawake wa kichaga kila mtu ni kaka yake japo nyuma ya pazia hawana kaka wala baba. mdogo bali wote halali?

Kwanini wanawake wa kichaga kila mtu ni kaka yake japo nyuma ya pazia hawana kaka wala baba. mdogo bali wote halali?

Samahani kwa mliiooa wanawake wa kichaga. Uzoefu wa wengi ni kwamba wanachukuana wao kwa wao. Kila anayekuja ni kaka wakati ni washikaji hata wengine wana ukoo wa damu kama mtoto wa baba mkubwa au mama mdogo au mkubwa. Je hii ni mila au?
Kuna mwanangu mmoja (RIP) alikuwa ameoa, but yupo Dada alikuwa wanaitana kaka na dada kumbe wamekua wote huko Boma Ngo'mbe sasa ile kaka na dada kaka na dada, ikatokea wakatengana na mkewe ehee hamadi yule aliyekuwa anamwita dada ndo akaja kushika uskani kama mama mwenye nyumba....kumbe walikuwa wanakulana siku mingi hawa kaka na dada!
 
Kuna mwanangu mmoja (RIP) alikuwa ameoa, but yupo Dada alikuwa wanaitana kaka na dada kumbe wamekua wote huko Boma Ngo'mbe sasa ile kaka na dada kaka na dada, ikatokea wakatengana na mkewe ehee hamadi yule aliyekuwa anamwita dada ndo akaja kushika uskani kama mama mwenye nyumba....kumbe walikuwa wanakulana siku mingi hawa kaka na dada!
Hiyo ipo sana kwa watu wenye tabia za kishenzi.
 
MODS sio kila mada ni ya kuendekeza. Upuuzi kama huu ukiachwa, jf tutaamini sasa ni jalala tu, kila mwenye haja zake anatupa hapo. Zingatieni tafadhali
Hii nchi imeharibika mkuu sio jamii forum tu nenda x(Twitter) ni yale Yale tu
 
Back
Top Bottom